Leo katika mahakama ya wilaya ya Mbozi, jeshi la polisi liliwapandisha kizimbani vijana watatu, Mdude Nyagali, Aristotle Mgasi na Omary Muba kwa tuhuma za uchochezi na makosa ya mtandao.
Mdude na wenzie walikamatwa na kuwekwa rumande wiki 3 zilizopita, bila kupelekwa mahakamani kwa sababu...
Watu kma nyie tanga tunawaita majitu ya bara au machogo, waropokaji msio namaadili, kwawatu wapwani nivazi labusara kuliko jeans nalimevaliwa kabla ya hio chips wala simu zamikononi kuenea
Huo ndoukweli akazemoyo asijitengenezee sababu kuaalichofanyiwa nikila mtu anafanyiwa. Inawezekana unavitabia au vikasoro ambavo kila mwanamke lazma atakucheat ndo life bro, jikaze uface the reality
Huo niujinga. Kma kwako wanakuendea vbaya usifikrie dunia nzima inawaendea vbaya. Niwanawake unaokutana nao ww ndowakuivo, tafuta njia nyingine yakijifarij
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.