Wito: Walimu endeeleni kurekodi matukio ya wanafunzi watukutuku ili kuwaumbua watu

Waungwana tujiandae kupokea zero za kumwaga maana walimu walikuwa wanajitoa watoto zetu waelewa but kwa hili tatizo naona wamepoteza morali wanachosubili n mwisho wa mwezi tu,sisi maskini tucye weza kupeleka private tutakoma sio kwa mnyoosho
 
Nakumbuka Mh Spika hapo kabla aliwahi kumcharaza mwenzake kwa bakora almanusura amkatishe maisha lakini hakukuwa na reaction yoyote toka serikalini, kweli walimu hawathaminiwi
Ww mwalimu nn
 
Walimu mmenifurahisha sana kwa kuprove wrong watu.Hii ni dhahiri kabisa kumbe baadhi ya wanafunzi wanakuwa wanaingia darasani teyari washavuta bangi naa wanaviroba kichwani.Kwa mwanafunzi kama huyo ni rahisi kukugomea au kurusha ngumi kwakuwa teyari bangi ipo kichwani.......

Wapo waliokataa yule mwanafunzi wa mbeya day si mvuta bangi na wapo waliosema hatakama mvuta bangi si kwa adhabu ile....sasa kama hujui atahari ya kupigwa vile yule mtoto ni ndogo kuliko uwepo wake pale shuleni kwakuwa huyu anauwezo wa kufundisha wenzake kumi hiyo shule itakuwaje?.....

Mie nafikiri waalimu endeleeni kuturecodia matukio kama hayo au zaidi ya hayo ili serikali na jamii ifahamu walimu mnafundisha watoto wa namna gani.....

NB:
Mawaziri,hakielimu na vyombo vya habari tunawaomba mlishikie kidete na kutoa maamuzi ya haraka juu ya hao wanafunzi...maana mkiwaruhusu walimu watoe adhabu nahisi itakuwa MATEKE,MANGUMI NA MAKOFI

Tutajitahidi maana kama ni matukio mabaya ya wanafunzi tunayo mengi lakini kwa ajili ya kulinda haki na hadhi yao ya baadaye huwa hatuwezi kufanya hivyo kwa kuwa tunaamini kuwa kutokana na kuwashauri, kuwaadhibu na kuwaelekeza njia sahihi huwa tunaamini kuwa ipo siku watabadilika na kuwa watu wazuri sana.

Wapo viongozi wengi tu kwa sasa ambao wamepita mikononi mwetu na viboko tuliwachapa vizuri tu ili kubadilisha mienendo yao mibaya ya kitabia kama na kuchelewa shule na walikubalika na sasa ni viongozi wazuri kwa sababu kwa kutumia fimbo hawakuvuta bangi wala kukataa kufanya mazoezi darasani na hawakuwagombeza wenzao darasani.
Kama kurekodi matukio yanayofanywa na wanafunzi na kuyarusha mtandaoni ni sifa basi tutaaanza kufanya hivyo japo pia tunahofu kwa sababu yapo matendo ya watoto wenu ambayo wewe kama mzazi ukiyaona kwamba yanafanyika utatamani kumuuua mtoto wako.
Wapo wazazi ambao huwa tunawaita kusikiliza matatizo ya watoto wao na wakisikia tu huishia kutoa machozi na kutamani yeye amwadhibu mtoto wake nasi kuwambia si kazi yao katika mazingira ya shule.

sasa leo naona wazazi wanatugeuka tena, ngoja tuwaachie na tuone tutazalisha jamii ya namna gani kama hatutalaumiwa baadaye!!
 
Wote mnaotetea yule dogo kupigwa vile labda angekua ni mdogo wako au mwanao sidhani kama mgetetea huyu msenge anayeitwa Frank msigwa
 
Back
Top Bottom