Uzalendo kazi kweli yaani,hv ss watz haasa jamani inakuwaje kulazimisha kushindana na Kenya ilhali inajulikana wenzetu wako mbele kihatua.Kujitambua ni nusu ya kufanikiwa,tusipo kubali tukajipanga tutaishia kuja hapa na vipichapicha kila uchwao mara ooh mwendokasi,mara ooh miundombinu , mara...
Salaam,haya mambo ya kutafuta trend kwenye mada yako ni ya kuangalia sana si kwakuwa unataka kuteka hisia za watu kuchangia mada yako ndio unajiandikia tu ili mradi watu wengi wachangie uzi wako hata kama itakuwa ni negative way,tujifunze kuwa na hekima hilo suala ni la kiimani mno kuliweka hapa...
Kila kitu kimezingatiwa na pini zilozotumika kufungia tafsida ya wimbo huu,ukizifungua tu utajikuta unabadilishwa jina,ni bora kuwa muoga na kukaa kimya kama Roma
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!watumwa wa propaganda na fake news ni wengi sana duniani ndio mana Trump huwa anavichana live hivi vyombo vyenye mlengo wa kizayuni cha ajaabu sasa !WANAFURAHA KUTUZIDI! Tchaooooo
Guy,Israel sio wakristo ni mayahudi wala hawaamini kuwa yesu ni mungu tatizo lenu mumekuwabrainwashed mno mpaka hamuoni wala kusikia ukweli uliombele yenu
Sio mbaya umejua kushtua watu kidogo,kuna jamaa hapo juu anadhani Alshabaab ni sawa na wapalestina eti Israeli sijui ndio atawaweza kwani hao Israeli hawataki fedha za kuweka serikali vibaraka kama walivyofanya Libya wanajua balaa la wasomali vizuri sana tuache dhihaka zisizo na maana kama no...
Wapambanapo wawili huwa napendelea mnyonge ashinde sasa hawa SIMBA walizidi kuonewa walionizunguka wote yanga yanga mm nikabaki kwa mnyonge hadi Leo SIMBA damu ila siwezi kuvunja viti kwa kuwa lengo langu ni kuifariji si kuitia hasara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.