Recent content by YUAJA

  1. Y

    Rais Magufuli: Angalia sana suala la Dodoma litakuwa kete ya wapinzani 2020

    Serikali iende Dodoma. Ili Dar isimame kama kitovu na jiji la kibiashara. Kama ilivyo Abuja na Lagos au New York na Washington DC. Foleni zipungue kiana. Kwani wizara zote zikihamia huko na idara muhimu walau watumishi wa Umma na wategemezi wao kama laki moja hivi wataondoka. Ingawaje ukweli...
  2. Y

    Unapambana vipi na mabadiliko ya maumbile ya mwenza wako?

    Ndoa ni kwa hali zote. Kuna changamoto ya kizazi hiki cha sasa kisicho jua misingi ya ndoa. Mwanamke wa jinsi hiyo uwa ni wale wakupotezeana muda. Leo kasema unene, jamaa akisha konda atakuja na mpya, Mara ooo umeanza kuzeeka! Nk nk. Type hiyo imejaa mitaani siku hizi. Ambao hamjaoa iweni...
  3. Y

    Je, ni kweli maisha hayana formula?

    Kila kitu duniani kina sheria zake za asili. Nyota na sayari zinatii sheria na kanuni zake za mizunguko. Mm inatengeneza chakula chake kwa kuzingatia kanuni, wanyama wanazaliana kwa kuzingatia kanuni za asali nk nk, hivyo hata mafanikio maishani yana kanuni zake za asili.
  4. Y

    Serikali imerasimisha kisheria Jumamosi ya kila mwisho wa mwezi kuwa siku ya usafi kitaifa

    Tufanye usafi siku ile ya maandalio ya Sabato( Ijumaa). Ingawaje ninacho jua imani yetu uwa inahimiza usafi wa kila siku kwani malaika wa BWANA hawakai mahali penye uchafu, hata iwe ni ktk vyumba vyetu.
  5. Y

    Serikali imerasimisha kisheria Jumamosi ya kila mwisho wa mwezi kuwa siku ya usafi kitaifa

    Ni sheria nzuri. Kwa Waadventista Wasabato twapaswa kufanya usafi siku moja kabla( yaani Ijumaa iliyo siku ya maandalio).
  6. Y

    Star Tv: Yericko Nyerere aongelea mwenendo wa siasa nchini

    Nami namsikiliza. Dogo yuko vizuri kichwani.
  7. Y

    Haya ndiyo maandishi ya kwenye Sanamu la Askari

    Mnara wa askari ni kumbukumbu nzuri kwetu kama Taifa na kwa jiji la Dsm. Minara ya kumbukumbu kwa ajili ya kuwaenzi wasanii, wanamichezo sio mbaya kujengwa maeneo mengine ya jiji,miji na vijiji nchi. Bila kusahau wanasiasa, wananzuoni pia waenziwe kwa minara ya kumbukumbu.
  8. Y

    Barabara ya fly over TAZARA, itapunguza foleni?

    Flying over ya Tazara itapunguza sana foleni ya Mandela Rd na ile ya Nyerere Rd.
  9. Y

    Dudu Baya: Maisha ya umaarufu magumu sana, nashindwa kununua mihogo na vitumbua

    Umaarufu upo kichwani mwa mtu mwenyewe, jamii haina mpango wa maisha ya mtu binafsi.
  10. Y

    Mambo kumi kuhusu Bill Gates

    No. 9 uwa ni wito kwa wote wenye akili kuchukua taadhari vile utajiri wako utakapo kuwa umekufa utakavyo tumika kujenga ufalme wa Mungu au wa Shetani. Unashauriwa kutoa sehemu kubwa ya utajiri wako kusukuma ufalme wa Mungu hapa duniani wakati unapo andika wosia.
  11. Y

    Nini hupelekea kuambiwa maneno haya ukiwa umepata Kazi/Ajira mkoa wa Mara?

    Mkoa wa Mara hauko hivyo mkuu. Wageni ni wengi kila kona pale. Watu wa mkoa ule makabila 32 ni wakarimu ajabu. Mm nimeishi kule kwa miaka 19!
  12. Y

    Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ...

    Ulaya na USA cheti( certificate) bado kina nguvu sana, wanacho zingatia ni skills hapa kwetu hata Shahada(first degree) imeshapoteza mvuto!!!
  13. Y

    Mchumba wangu ameamua tuachane

    Inuka, kung'uta vumbi nguo zako, tembea taratibu kisha timua mbio. Wanawake wako bilioni nne duniani. Stop lamenting gentleman! Mpe miaka minne atakuja kwako na vilio na maombi mengi ya msamaha! Ila uamuzi utakuwa ni juu yako.
Back
Top Bottom