SirChief
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 3,304
- 3,380
Bill & Mellinda Gates Foundationmbona
anatoa sana hata hapa kwetu wengi wanafaidika sana na pesa zake ikiwemo udom
Bill & Mellinda Gates Foundationmbona
anatoa sana hata hapa kwetu wengi wanafaidika sana na pesa zake ikiwemo udom
Upo sahihi mkuu ingawa composer ni Bruno MarsNo. 8 ina ukakasi...I wanna be a billionaire Bruno si kashirikishwa tu na Travis McCoy ili aimbe Chorus.. Wimbo wa Travie
Hiyo inatekelezeka na hata mimi sitaki watoto wangu warithi hiki kibanda changu cha makuti wajenge vyaoNamba tisa nimeipenda ila sidhani kama inatekelezeka
mkuu umenichekesha sana #salute kwako wonderful#Hapana, ana asili ya Msoga...!
Si ndo maana ana bill and Melinda gates foundation?kama amewalenga maskin ndo wafaidike aanze kuwapatia sasa iv ata akifa watu waendeleze tu kuzgawa izo mali
Bt wimbo sio wa bruno.Nashare nae namba 8, Bruno Mars ni my fav, almost kilasiku naimba I wanna be a billionaire na guitar langu.
yah, ni wa Travie, lakini Bruno amefunika mbayaBt wimbo sio wa bruno.
jamaa anajua sanaNamkubali sana bruno hasa kwenye hiz ngoma 3
1 Some wher in brooklyn
2 Count one me
3 Tokng to the moon.
Wazungu siyo kama waafrika mkuu!Namba tisa nimeipenda ila sidhani kama inatekelezeka
Na mimi uniwekemonamba 6 tunafanana japo mi si tajiri wa kifedha kiasi chake.
Jackie Chain pia aliwahi kutoa msimamo kama huo. Alisema anamsaidia mtoto kusema na kufika popote lakini baada ya shule asitarajie hata sent ya kuanzia maisha kutoka kwake...hahitaji DNA, kama kweli ni mtoto wake ana uhakika atajitafutia.Namba tisa nimeipenda ila sidhani kama inatekelezeka