Haha, WaTanzania ndo maana tunaliwa na kudhulumiwa kila kukicha. Yani hapa watu mnatetea elimu ya diploma kisa eti experience.
Hivi mambo mangapi tunasikia yameoza serikalini? Mtu amesoma enzi za nyerere, tena ka_diploma... Wakati duniani siku hzi accountants are professionals,..not only skills but also with new technologies.
Watu siku hizi wanaiba kwa technology na kujua vifungu flan flan kwenye accounts. Nina wasiwasi hata mhasibu wa Tanesco nae ana_experience ya 20, with kidiploma. (Ndo maana huwa wanalia hela hazionekani kwenye shirika, na wanapata tu hasara kila siku) Hahaha
Mbali na kuwa na experience, ukiwa na elimu ndogo, una_lacky confidence... Sishangai kuona hela zinachotwa meremeta, epa. Kama tuna wahasibu kama hawa.