tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
ADA na CIMA au CPA ,MR UTOUH yuko vizuri saana, ila mkaguzi mkuu ni ASSAD , utouh alikuwagaNakuunga mkono kabisa. NAD ni wataalamu haswa. Mtoa mada anapaswa kujua mifumo ya elimu inabadilika kulingana na wakati. Na ukiona hivyo ujue utendaji wake ni mzuri.
Ludovic Utouh ana ADA, lakini ndio mkaguzi mkuu wa serikali, Chini yake kuna watu wana PGD, Masters, Doctorates etc