Recent content by wyinjoness

  1. W

    Mifuko ya Hifadhi za jamii ipo sahihi kuondoa fao la kujitoa

    Hapo wanagusa pabaya yan mpaka hizi wanazitamani duuuh
  2. W

    TBC wakata matangazo wakati Meya wa Jiji akiongea

    Daah Nashindwa kuzizuia hisia zangu kuhusu tukio la kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Jiji Mr Kabwe kweli Tz tumepata kiongozi jasiri tena mwenye maamuzi ya papokwapapo.Natamani nimuone Mheshimiwa Magufur nimpe pongezi ila kwakuwa ningumu kumuona Ujumbe wangu umfikie toka aanze kutumbua leo...
  3. W

    Mbunge wa Busanda aaibishwa mbele ya Waziri Mkuu

    Hiyo ilitokea jana nikweli ilikuwa kwenye mkutano wa waziri mkuu sehemu moja inaitwa Katoro haliyahewa ilichafuka baada ya MC kumpanafasi yakusalimia wapiga kura wake ndipo ilipoanza zomeazomea wakimtaka akae chini takriban dkika kumi zilipotea kwa zomeazomea ila alifanikiwa kuongea nakuerezea...
  4. W

    CUF Kutikisa Nchi

    Lini hiyo mkuu
  5. W

    Donald Trump amjibu Papa Francis

    Nibora tutawaliwe cz hatujawa Tatar kujitawara
  6. W

    Askofu Fredrick Shoo ameongea kama kiongozi au mfuasi wa Lowassa?

    Acha ujinga kwaiyo unaona kilekitendo nichakuungwa mkono na watu wenye akili timamu au unaleta ushabiki tu
  7. W

    Bungeni: Waandishi nao walitimuliwa

    Jàmani ivi huyo Nape alidanganywa nanan kuwa watanzania wamekubaliana na huo ujinga naimeanza lini watanzania kuonewa huruma kisi cha kunyimwa haki yake ymsngi kma hiyo.Huyo Nape nae ni jipu tena anastairi akatumbuliwe Muhimbili
  8. W

    Yanayojiri Bungeni baada ya kamati ya uongozi kuketi

    Jamani iv Nape anaerim gni manaake naona hata yeye nijipu tu
  9. W

    TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

    Huyo jamaa hakustairi kuingia bungeni anafanya siasa pasipostairi kamavip waifunge kabisa iyo bajet waliokuwa wanawapa iperekwe ITV au AZAM TV
  10. W

    Padri huyu analidhalilisha kanisa Katoliki parokia ya Kirumba

    Kama ni kweli hafai hatakwakulumangia mungu amsamehe
Back
Top Bottom