TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,564
Pope Francis has every right in the world to defend Mexicans and other Latinos because he is from there.
Ebu nitajie shughul yoyote ya ugaidi ambayo urusi amewai kuutetea mkuu taja....on example please...then unitajie na shughul yoyote ya ugaidi inayohusu mmarekanAhahahaaaa poleni nyie hamjui fitina za hawa white people..kwani nini kinachoendelea congo libya...wamejifanya kumtuma ban kimoon aje apooze mambo kumbe behind the pazia wanachuma na kukamua ngombe kwa kichonganisha
Yaani nimetumia karibu 264mb ili nielewe ulichoandika lkn nimeambulia patupu....lol[emoji15] [emoji42]Kauli zake niinzito nazenye msimamo wahatali mno ktk. Dunia. Kauliizo. Zinaweza kupunguza. Ugaidi au zikaongeza zaidi ukweli ugaidi nijambo baya tenalahatali. Zaidi Lakini kuzuia waislam kuingia marekani nihatali. Nyingine. Kuusu. Demoklasia Africa ukweli. Bado. Hakuna. Demokrasia uondio ukweli watuwanatawala myaka therathin watuwanalisishana madaraka akuna demokrasia nawala atamimi. Mimisioni. Umuhim. Wakwenda. Kupanga. Foreni. Etii. Kupiga kura
Bhaaaaaaaaa....hatari tupu....Yaani nimetumia karibu 264mb ili nielewe ulichoandika lkn nimeambulia patupu....lol[emoji15] [emoji42]
Kijana! Narudia tena end of the day marekani itatawaliwa na waislamu amini usiamini, huo ndio ukweli
Mm sioni la maana aliloongea kwa sababu ktk tafiti za ukuaji wa dini duniani Uislam ndiyo dini inayoongoza kupanuka zaidi ktk pande zote za mabara yote!!
Hahaha
Naona unajichetua tu
Njoo chemba basi jaman bibie
Naona full kupata wivu.Duh jf imevamiwa na vilaza, rijali mzima unaongea mambo yakipumbavu yasiyokua na maana
Waafrika tujikomboe tena kutoka ktk ukoloni Wa kivitendo na kifikra lakini sio kwa kupitia kwa hawa viongozi vibaraka wa kiafrika. Kama hatutaweza Fanya ivyo basi tutaendelea kuwa watumwa wa kifikra na kukoloniwa hadi mwisho wa dunia. Mnaosema Trump akishinda dunia itakaa sawa, mtakuwa mnaota ndoto za mchana kweupe.
Hizi takwimu huwa mnazitoa wapi jamani naomba kujuaNikweli mkuu! Ukichukulia hapa tz waislamu ni wengi mno wanaelekea kwenye 70 percent, lkn serikali inajaribu kuficha ukweli.
Wametutawala vipi tena Mkuu? Mbona mambo yetu tunayaharibu sisi wenyewe? Tuambie Trump akitawala Marekani na hizo sera zake, Tanzania itaharibikiwa nini ambacho sasa kiko sawa. Tusaidie tukuelewe.
Form four ya darasa la sabaMkuu unaelimu gani?
Form four ya darasa la saba
Form four ya darasa la saba