Ntaluke.N.
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,340
- 552
Huu utawala unaweza ukawa wamateso zaidi hata enzi za utumwa,maana ukiangalia kuzuia mikutano wala maandamano ya kisiasa kwa wapinzani,jumlisha bunge kutokuonyeshwa live..huku CCM wakiandamana huku wakiwa wamebeba mabango ya Ya Kibaguzi ni ruksa..Nashindwa kueleza vizuri.