Hyo wiki ijayo hapo KIU mpaka kieleweke ada kubwa,mazngra ya kusomea magumu tunaosoma bussines tunajazana darasani kama madarasa ya shule za kata alafu tcu kikaipa usajili chuo kama shule ya makongo
Hawa bila kuwakurupusha kwa migomo na maandamo hawataelewa! Kitu cha kushangaza zaidi ni serekali ya bwana jk hivi kweli inamjali mtanzania tuko kwenye nchi yetu alafu huduma tuipate kwa rate ya US dolar!
Kwenye guide book ya TCU walionyesha ada ya hiki chuo ni milio mbili lakini hapa chuo ada inalipwa kwa rate ya USA dolar na michango mingine mingi kwa mwaka inazidi milion tatu hivi hii serekali inalitambua hili?
Dah bongo bana sasa hizo helcopta zote zilizoko igunga si zingepelekwa zanzibar wakati wa ajali ili kuokoa watu au kwa sababu nungwi hakuna uchaguzi kuna maafa kwa hiyo hamna ulaji!
Toka tido apigwe chini tbc nayo imekuwa gamba eti kituo cha habari cha taifa kinashindwa kutoa habari za mkutano wa chadema lakn itv wanaweza au umat wa watu ndo umeitisha tbc kuirusha hiyo habari au ni intelijensia ya nape
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.