PICHA: CHADEMA 'wauteka' mji wa Arusha

PICHA: CHADEMA 'wauteka' mji wa Arusha

hiyo ni ''message sent and delivered to magamba'' na wao wakawaelezee wananchi wa Igunga kwa nini Rostam kati ya uozo wote kaonekana yeye tu.
 
mtaji wa ccm ni wananchi walioko vijijini wale wasio na umeme wasio ona adha ya mafuta wale wasio na elimu hao ndio ccm inajivunia kuwa wapiga kura wake.
Mkuu sio wanavijiji wa sasa, huko nako wameshaamka na kwa vile waliona kutumia mafuta ya taa ni hatua ya maendeleo na sasa CCM imewarudisha kwenye matumizi ya kuni au kinyesi cha ng'ombe.
 
Nimeburudika sana, ila hii ni ishara ya ukombozi kwa nchi hii, na siku watu wanaishi dar wakiamka kama hawa wa Arusha, Mwanza na Taarime ukombozi utakuwa umetimia, Dar amkenitoka usingizini.
 
Hakika saa ya ukombozi imewadia,

Viva wote wanaojitolea kutuongoza ili kufikia maamuzi!!!
 
HTML:
Picha ZENYEWE wamejaa watoto wadogo. CDM hawana lolote shida yao ni kutafuta fujo. sasa hizo fujo wanazopenda wakapigane na wake zao na waume zao. mtu mwenye akili timamu hawezi kushadidia upuuzi wa Mbowe na wenzake

Kipofu haambiwi tazama.
 
Toka tido apigwe chini tbc nayo imekuwa gamba eti kituo cha habari cha taifa kinashindwa kutoa habari za mkutano wa chadema lakn itv wanaweza au umat wa watu ndo umeitisha tbc kuirusha hiyo habari au ni intelijensia ya nape
 
Nimekubali CDM mmekusanya nyomi,
Magamba wenzangu hizo picha ni za ukweli kabisa tuache ushabiki, hilo jengo jeupe ni la Nyari limepakwa rangi mwezi uliopita
Tunawasubiri kwenye uchaguzi wa Madiwani kama mtachomoa
Nape wajibu hawa waungwana maana Hoja nyingi hatujibu Katibu tunabanananishwa
 
Dah!!!!!!!!!! hiyo DVD mwanangu, nachoma sana kulingana maisha yaliyopo. Tanzania kweli inahitaji mabadiliko kwa asilimia kubwa. CCM wangekuwa wepesi kusikiliza na kufanyia kazi hayo mabadiliko wanayoyataka wananchi sio viongozi wa chadema. Nimekubali ni wananchi wenyewe wanahitaji mabadiliko sio viongozi wa chadema.
 
dUUUUHHH!!!!!!!!!!!!!!!!

Hiiiii picha kwakweriii inatisha wakuu,,, napata picha how much wananchi wanaweka utukufu kwa hiki chama. Anyways, nawatakieni mapambano mema kwaajili ya ukombozi wa nchi hii, nasi wenye mitazamo ya namna nyingine ktk nchi hii tuko nyuma yenu kwa kila jambo jema.

Tunasimamia maamuzi ktk nafasi zetu, tutakaba wezi kwa uwezo wetu,,, ila nguvu kubwa iko kwa WANANCHI....bse in Tanzania the Authority of the govt comes from the PEOPLE lkn mpaka waelimishwe ni kwa namna gani walivyokuwa na mamlaka kubwa, jinsi ya kulinda na kutetea mamlaka zao.
 
kwani haiwezekani picha hii kuwa imechakachuliwa kama walivyochakachua MWANANCHI wakatoa picha ya NAPE akihutubia 'watoto' kumbe ukweli ni tofauti?
 
Jamani Ndugu zetu wa A-Town kila siku mnazidi kuwa JUU, JUU, JUU zaidi kwa kila kona ya mambo ya UKOMBOZI wa nchi yetu!!!!!!

Na sana tena tunawavulieni kofia zote kwa heshima kubwa ya huu wimbo murua wenye kutukumbusha sisi sote JUKUMU LETU la kufia HAKI, UKWELI NA USAWA barabarani kuliko kubaki na amani katika ulaghai mkubwa, ufisadi na udhalilishaji wa utu wetu kila mahali nchini!!!

Hakika MAKAMANDA WOOOOOTE, MACHALIIIIIIII WOOOOOOOOOOOOOOOOTE, na WAPIGA KURA WOOOOOOOOOOOOOOOOOOTE kujikaze mikanda na TUSONGE MBELE ZAIDI kwani ukombozi u karibu mikononi mwetu sisi wenyewe wananchi.

Wananchi tukisema HAPANA, je kuna nani tena wa kutupinga hapa nchini???????????????????????? Azma yetu sote Mbeeeeeeeeeeeeeeeeele kama tai; vijana twende kazi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom