david mkwizu
Member
- Jul 31, 2011
- 29
- 9
jamaa mmoja alifanikiwa kuoa mdada ambae alikua hajawahi kufanya kabisaaa mambo yetu yalee..! yani I mean alikua b*kra..!!!
sasa kabla ya kufanya kile kitendo mkewe akamwambia " jack hebu nieleze ni nini hasa tunaenda kufanya na kinafanywaje..?"
jack kwa ujasiri mwingi kama wanavyokuaga watoto wengi wa kiume akaanza kumuelezea kua.."..ni kama hivi yani sehemu yako ya siri ni kama gereza na sehemu yangu ni kama mfungwa.. sasa mchezo wenyewe ni wa kumuweka mfungwa gerezani.."yule dada akakubali bwana.. wakaanza mambo yetu yale.. jamaa akatoka kwenye round ya kwanza..! alipokua mapumziko..! akaona mkewe analalamika kua mfungwa ametoroka gerezani.. jamaa akaigia tena round nyingine..! baada ya round ya pili. jamaa ameanza kuchoka huyu mama akawa ameanza kufurahia kamuchezo..! akawa analia anasema.."jamani jack mfungwa ametoroka tena..." jack akaingia round ya tatu..! alipokua kwenye mapumziko baada ya kazi ngumu..! akasikia tena yf analia kua mfungwa ametoroka..! ah jamaa akamwambia mkewe kua "mamaa mfungwa hakupewa kifungo cha maisha jela....!!!!!!!?
sasa kabla ya kufanya kile kitendo mkewe akamwambia " jack hebu nieleze ni nini hasa tunaenda kufanya na kinafanywaje..?"
jack kwa ujasiri mwingi kama wanavyokuaga watoto wengi wa kiume akaanza kumuelezea kua.."..ni kama hivi yani sehemu yako ya siri ni kama gereza na sehemu yangu ni kama mfungwa.. sasa mchezo wenyewe ni wa kumuweka mfungwa gerezani.."yule dada akakubali bwana.. wakaanza mambo yetu yale.. jamaa akatoka kwenye round ya kwanza..! alipokua mapumziko..! akaona mkewe analalamika kua mfungwa ametoroka gerezani.. jamaa akaigia tena round nyingine..! baada ya round ya pili. jamaa ameanza kuchoka huyu mama akawa ameanza kufurahia kamuchezo..! akawa analia anasema.."jamani jack mfungwa ametoroka tena..." jack akaingia round ya tatu..! alipokua kwenye mapumziko baada ya kazi ngumu..! akasikia tena yf analia kua mfungwa ametoroka..! ah jamaa akamwambia mkewe kua "mamaa mfungwa hakupewa kifungo cha maisha jela....!!!!!!!?