Watanzania tunaosoma vyuo vikuu binafsi nchini vinavyotoza ada kwenye us dola vyatuuwa!!

pole ndugu ww bila shaka ni mwanafunzi wa Imtu au Zanzibar university.Tanzania kuna chombo cha kuwapangia kozi za kusoma wanfunzi na kuwapa stress waombaji mikopo lakini mamlaka ya kusimamia ada ya vyuo vikuu hulo sahau.
 
Back
Top Bottom