Willey ushaki
Member
- Feb 2, 2011
- 20
- 3
Kwenye guide book ya TCU walionyesha ada ya hiki chuo ni milio mbili lakini hapa chuo ada inalipwa kwa rate ya USA dolar na michango mingine mingi kwa mwaka inazidi milion tatu hivi hii serekali inalitambua hili?