Kma huna hela keep quiet, kwan ulitaka iwe wapi ndio uambiwe 85M, kanunue masak na kwingineko wanako nunua wenye Visent kama akina Waziri Maige USD 450,000-700,000M
Mm nachukia mtua anaye jifanya anadharau baadhi ya maeneo, ili hali hajawahi kujenga hata choo!!! Akifa leo msiba wanahani kwa...