Ronaldo wa ukweli sana....MI ningempa CR7 Jeshi la mtu mmoja,siyo bila fulani unafulia!.....
FIFA imewabakisha manguli watatu wa La Liga kugombea uchezaji bora wa dunia. Ni Lionel Messi aka Andunje,Andres Iniesta na Christiano Ronaldo. Wewe ungekuwa kocha,nahodha wa timu ya Taifa au mpigakura mwingine wa tuzo hii,ungempigia nani hapa?
1. Lionel Messi
2. Andres Iniesta
3. Xavi Hernandez
Ronaldo hakuna anachofanya, Euro 2012 katoka mtupu kama alivyoingia. Hata hao 3 bora Ronaldo wamempa tu.
ingekuwa de lima sawa,lakini ronaldo huyu wa kichina,mmh!
magoli 84,bado 1 afikie 85 aliyoweka Gerd Mullermessi ana magoli 87 kwa mwaka huu 2012 ameshamfikia legend muller kwa idadi ya magoli mengi kufungwa kwa mwaka mmoja...huyu dogo messi ni balaa hana mpinzani
magoli 84,bado 1 afikie 85 aliyoweka Gerd Muller