Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Kwa Wana JF waliosoma Tabora Boys na UDSM miaka ya 1980's na 1990's
Nasikitika kuwajulisha kuwa Mwalimu wetu JOSEPH MWOMBEKI KABALIMU amefariki dunia huko Karagwe, siku ya jumapili 27/5/2012. Mazishi yake ni Alhamisi 31/5/2012. Mpaka kifo chake alikuwa ni Mkuu wa Shule ya Sekondari Karagwe (KARASECO).
Mwalimu Kabalimu atakumbukwa kwa mengi na wanafunzi wake. Akiwa ameanzia kazi ya ualimu katika shule za msingi na kujiendeleza hadi kufundisha Chuo Kikuu.
Apumzike kwa amani mwalimu wetu.
Nasikitika kuwajulisha kuwa Mwalimu wetu JOSEPH MWOMBEKI KABALIMU amefariki dunia huko Karagwe, siku ya jumapili 27/5/2012. Mazishi yake ni Alhamisi 31/5/2012. Mpaka kifo chake alikuwa ni Mkuu wa Shule ya Sekondari Karagwe (KARASECO).
Mwalimu Kabalimu atakumbukwa kwa mengi na wanafunzi wake. Akiwa ameanzia kazi ya ualimu katika shule za msingi na kujiendeleza hadi kufundisha Chuo Kikuu.
Apumzike kwa amani mwalimu wetu.