CHADEMA kutumia Helkopta nne katika M4C kushambulia mikoa yote Tanzania

Wananchi tunawapa kwanza elimu, hayo mengine watayapata easly wakiwa na elimu!
 
hv policcm wataweza kuzifukuzia kwenye kila mkutano ili wakapige mabom? au nao watatumia chopa?
 
Hapo ndipo Chadema mnapokosea mnataka kupita anakopita CCM.
 
Matumizi ya helkopta ni makubwa sana safari tatu za hizo helkopta zinajenga visima vya maji vitatu. Kwa nini msiwapelekee wananchi hizo pesa kwa kupitia miradi, safari moja ya helkopta unajenga madarasa mawili.

ccm watawapa tena helkopta? kwenye v4c kopi kutoka m4c. Zilizochangishwa cuf kwenye matembezi yenu wtajengea visima mtakuwa mmefanya la maana.
 
Mi nawashauri watumie michango ya wananchi pia kuibua miradi ya maendeleo na kutatua kero ambazo CCM imeshindwa kuzitatua.

Kwa mfano, asilimia 50 ya michango ya wananchi iwarudie wananchi wenyewe kwa kuboresha miundo mbinu hospitalini, kusambaza huduma za maji, kujenga nyumba za watumishi kwa mfano walimu na madaktari.

Naamini kwa kufanya hivyo, kwanza wataonesha nidhamu ya pesa za walipakodi, na miradi mingi itasimama kwa pesa kidogo huku ubora wa miradi ukishinda mbali ile iliyosimamiwa na serikali ya CCM
.



Magamba bwana!! Yaani thinking capacity yako imekuelekeza hivyo?? Hizo pesa tumechanga kwa Lengo la Kueneza ujumbe wa mabadiliko kwa Tanzania ili kuchukua nchi 2015 kwa lengo la kusimamia rasimali za Taifa ili kuhakisha hizo huduma bora na mirad ya jamii ambayo haisimamiwi vizuri na Serikali yako ya CCM ambayo ndiyo inawajibu wa kufanya hivyo kwa kuwa hukusanya KODI ZETU CDM inasimamia!!

Think outside the BOX ndugu na uache uoga!!!!!
 
Mi nawashauri watumie michango ya wananchi pia kuibua miradi ya maendeleo na kutatua kero ambazo CCM imeshindwa kuzitatua.

Kwa mfano, asilimia 50 ya michango ya wananchi iwarudie wananchi wenyewe kwa kuboresha miundo mbinu hospitalini, kusambaza huduma za maji, kujenga nyumba za watumishi kwa mfano walimu na madaktari.

Naamini kwa kufanya hivyo, kwanza wataonesha nidhamu ya pesa za walipakodi, na miradi mingi itasimama kwa pesa kidogo huku ubora wa miradi ukishinda mbali ile iliyosimamiwa na serikali ya CCM
.

Hiyo ni kazi ya CCM inayokusaya kodi, inaachia mianya mingi ya wakwepa kodi ili kazi wafanya CHADEMA? kila jambo na wakati wake,sasa ni ukombozi tu ili tukishika dola tuwaletee maendeleo...hata hivyo wabunge wamekuwa wakishirikiana na wananchi wao kuleta maendeleo.
 
Matumizi ya helkopta ni makubwa sana safari tatu za hizo helkopta zinajenga visima vya maji vitatu. Kwa nini msiwapelekee wananchi hizo pesa kwa kupitia miradi, safari moja ya helkopta unajenga madarasa mawili.

Ngoja kwanza nchi ikombolewe visima vingi saana vitachimbwa tukichukua dola hatutaki zima moto!
 
Wananchi tunawapa kwanza elimu, hayo mengine watayapata easly wakiwa na elimu!

Filipo,
Kujenga visima vya maji kujenga madarasa ni elimu tosha kwa raia kuliko kuruka na helkpota.
 
Last edited by a moderator:
Ccm oyeee! Mtakufa kihoro, mpaka 2014 kuelekea 2015 helkopita zitakuwa 15, na magari madogo 200, makubwa 25. Ccm watabanwa kila hatua na kila kona. Operatio n ya leo ikitua kwa Mwigulu, itakuwa Kitogoji kwa kitogoji mwishowe balozi, mpaka apate adabu.
 
Mi nawashauri watumie michango ya wananchi pia kuibua miradi ya maendeleo na kutatua kero ambazo CCM imeshindwa kuzitatua. Kwa mfano, asilimia 50 ya michango ya wananchi iwarudie wananchi wenyewe kwa kuboresha miundo mbinu hospitalini, kusambaza huduma za maji, kujenga nyumba za watumishi kwa mfano walimu na madaktari. Naamini kwa kufanya hivyo, kwanza wataonesha nidhamu ya pesa za walipakodi, na miradi mingi itasimama kwa pesa kidogo huku ubora wa miradi ukishinda mbali ile iliyosimamiwa na serikali ya CCM.[kumbuka hawana serikali
 
Hivi ccm mbona mnasahau kuwa mlichangiwa na wananchi kujenga chama? Je viwanja vya michezo mapato yake yanajenga visima au shule? Mbona mlinunuliwa magari zaidi ya 100 na wanachama wenu hamsemi?
Wanachama na wafuasi wa CHADEMA wanajenga chama chao ndiyo lengo la michango.
 
Matumizi ya helkopta ni makubwa sana safari tatu za hizo helkopta zinajenga visima vya maji vitatu. Kwa nini msiwapelekee wananchi hizo pesa kwa kupitia miradi, safari moja ya helkopta unajenga madarasa mawili.
Vijisentivilivyoko Uswisi vinaweza kuweka mitandaoya mabomba ya maji safi na salama kwa kaya ngapi katika nchi hii achilia mbali vijiji na miji?
 
Matumizi ya helkopta ni makubwa sana safari tatu za hizo helkopta zinajenga visima vya maji vitatu. Kwa nini msiwapelekee wananchi hizo pesa kwa kupitia miradi, safari moja ya helkopta unajenga madarasa mawili.
 
Hiki ni kipindi cha vita, vita ya kujikomboa na serikali dhalimu ya kifisadi. Kila silaha itumike, cha muhimu siyo gharama bali ni matokeo gani tutapata. Hakuna gharama kubwa tunayopata kama KUENDELEA KUTAWALIWA NA SERIKALI DHALIMU, SERIKALI ISIYO NA MIPANGO, ISIYO NA UWEZO WA UBUNIFU WALA NGUVU ZA KUSIMAMIA MAAMUZI.
 
Mi nawashauri watumie michango ya wananchi pia kuibua miradi ya maendeleo na kutatua kero ambazo CCM imeshindwa kuzitatua.

Kwa mfano, asilimia 50 ya michango ya wananchi iwarudie wananchi wenyewe kwa kuboresha miundo mbinu hospitalini, kusambaza huduma za maji, kujenga nyumba za watumishi kwa mfano walimu na madaktari.

Naamini kwa kufanya hivyo, kwanza wataonesha nidhamu ya pesa za walipakodi, na miradi mingi itasimama kwa pesa kidogo huku ubora wa miradi ukishinda mbali ile iliyosimamiwa na serikali ya CCM
.

Acha ujinga. Hii michango sio kodi wala misaada ya nchi wahisani kwa huduma za jamii kama ulizotaja maake hilo ni jukumu la wakusanya kodi yaani serikali iliyoko madarakani. hii michango ya M4C ni kwa ajili ya kutoa elimu ya uraia kwa wakazi wa vijijini.
 
Hizi tunazochangia ni kwa maendeleo ya chama hayo mengine yatakuja tukikabidhiwa Magogoni yetu 2015
 
Back
Top Bottom