- Thread starter
- #21
mkuu wahuni wako mbali sana wakok paleee Dar liveNi umbali gani toka wanapoishi wahuni waliochoma makanisa? Inapendekeza ingawa hili la wahuni linaitia kasoro.
mkuu wahuni wako mbali sana wakok paleee Dar liveNi umbali gani toka wanapoishi wahuni waliochoma makanisa? Inapendekeza ingawa hili la wahuni linaitia kasoro.
Mkuu Nyumba imetulia ile mbayaa... kwann inauza???
wewe sio Mtanzania? Haiyumkiniki huifahamu Mbagala, imeimbwa na mwanamuziki wa Bongo flavor, na juzi tu imeingia kwenye ramani ya dunia baada ya baadhi ya Waislamu kuvamia na kuharibu Makanisa.
Huyo mleta bandiko anasema 85 milion ni bei poa!!??
Nyumba yenyewe iko Mbagala! Jamani, tuwe tunajifikiria mara mbili mbili kabla ya kutamka bei.
wewe sio Mtanzania? Haiyumkiniki huifahamu Mbagala, imeimbwa na mwanamuziki wa Bongo flavor, na juzi tu imeingia kwenye ramani ya dunia baada ya baadhi ya Waislamu kuvamia na kuharibu Makanisa.
Huyo mleta bandiko anasema 85 milion ni bei poa!!??
Nyumba yenyewe iko Mbagala! Jamani, tuwe tunajifikiria mara mbili mbili kabla ya kutamka bei.
Ndio maana kaweka bei ya chini kwani kununulika ni soo kwa vile iko karibu na ...Ipo karibu na msikiti inivutie
Hujui nyumba ndiyo maana unaona siyo bei poa. Hata kama siyo bei unaweza kulia kubagain mkaelewana.
[/QUOTE]mbona mkali sana dadaangu
wewe lazima utakuwa mwanauamsho
mwalimu mzuri ni yule anayemuelekeza mtu
sio kubwatuka kama hujanunuliwa nguo za idd[
QUOTE=Wimana;4905232]wewe sio Mtanzania? Haiyumkiniki huifahamu Mbagala, imeimbwa na mwanamuziki wa Bongo flavor, na juzi tu imeingia kwenye ramani ya dunia baada ya baadhi ya Waislamu kuvamia na kuharibu Makanisa.
Huyo mleta bandiko anasema 85 milion ni bei poa!!??
Nyumba yenyewe iko Mbagala! Jamani, tuwe tunajifikiria mara mbili mbili kabla ya kutamka bei.
Achana nao hao wanajifanya wajuaji wakiwa nyuma ya keyboard ndo maana wanuziwa magofu masaki kwa bei ya kutupwa wakat kuna maeneo mazuri na kuna nyumba za kufa mtuMaji matitu mbagara nawashauri tembeleeni maeneo haya , wengi mnamtazamo usio sahihi haya maeneo ni mazuri fika uone
Wasikubabaishe bei ndogo sana kwa maeneo hayoNYUMBA INA SIFA ZIFUATAZO
- Kiwanja kimepimwa sqm 1092 kina offer
- Vyumba 4 vya kulala 1 master
- Juu gypsum
- chini cement ya kawaida
- ina store, jiko , sehemu ya kula chakula.
- imezungushiwa ukuta mkubwa, umeme upo .
haina tiles, geti kubwa , haijawekwa zege hapo nje ( jamvi )
Ipo mbagara maji matitu, tuwasiliane 0657 145555 , 0755 099 291 & 0686 200 117
inauzwa 85m.
View attachment 69366 View attachment 69367 View attachment 69368 View attachment 69369 View attachment 69370