kwa kuwa mada yako umeelekeza kwa wasiompenda, binafsi namkubali ile mbaya, wasimkubali nawashauri wampinge kwa hoja, hata nyerere alishtakiwa na wakoloni, mwisho akawa rais wa tz, mandela alifungwa jela mwisho akawa rais wa south africa, zuma alikuwa na kashfa kibao mpaka leo ni rais wa south africa .mpaka leo najiuliza kwanini ile tume ya richmond kwanini haikumuhoji? binafsi naamini shida zote tunazopata watanzania leo hii ni kutokana na ile tume .
nimefikiria nimeona ukiwa na reasoning kama yako ndiyo utampenda EL kama Rais wako. Huwezi kufananisha Mandela na mfumo aliokua anapingana nao same as Nyerere na mazingira ya utawala wa wazawa na mfumo wa demokrasia uliopo. Lowassa sana sana anafanana na Zuma na Zuma ni failure S.A. Uadilifu wa Zuma haukua mzuri toka mwanzo na nchi imemshinda.
Uongozi ni uadilifu first and foremost, na kama Ufisadi (unaopoteza ari na maadili ya kazi, kuzawadia ubinafsi wa kupindukia na kudumaza jamii nzima) ni changamoto namba moja hapa tanzania kwa nini tumpe ofisi kubwa kabisa mtu ambaye hata siku moja hawezi kukemea ufisadi kwa sababu ya kua yeye ni mnufaika mkubwa wa mfumo huo na ndiyo ulimosaidia kuingia madarakani?
fikiria kwa makini kijana ( kama hauna mirija uliyoitega na Urais wa Lowassa)