Recent content by wanakopi

  1. wanakopi

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Wawe wanakaaa siti za nyumaaa sasa maana uku mbele nomaa sana muda mwingine
  2. wanakopi

    Wema na Idris waachana

    Wema anamatumizi mabaya ya uchi
  3. wanakopi

    Overwhole service, Toyota IST

    0657267171 nipigie nikuambie
  4. wanakopi

    Drilling machine for sale

    Picha zake ni izoo
  5. wanakopi

    Drilling machine for sale

    Inapatikana hapa Dar ipo safi tu waoiokuwa wanaitumia muda wao wakuishi Tz umeisha ivo wanaliuza. Kwa maelezo zaidi tuwasilia inbox
  6. wanakopi

    Mabango ya CCM Mjini

    Wana jamvi ebu nielimisheni kuhusu mabango yalotawala barabarani kwa hapa dar yamejaa mno ya mh magufuli alafu wagombea wengine awapo.
  7. wanakopi

    Wazee wa JamiiForums popo tukutane hapa

    Iv kumekuchaaa eeeeh
  8. wanakopi

    Wazee wa JamiiForums popo tukutane hapa

    Mpo kimyaaaa wazee vip mumepata vyakulalia nini jamaa zanguu
  9. wanakopi

    Wazee wa JamiiForums popo tukutane hapa

    Nipo igo apa wazee nakula Heineken za 2500
  10. wanakopi

    Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya kuhudumia makontena Tanzania (TICTS)ni mzungu?

    Wabongo kwakutaka kupekenyua mambo ya watu kikubwa tutafute pesa tu ndugu zanguni
  11. wanakopi

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Mtoa mada we unatumia gari gani labda mimi nina ilo nissani nimenunua mwaka 2012 mwez wa tano mpaka apa napozungumza ni mwendo wakumwaga oil tu sijawah gusa kitu chochote na nazurula naloo kinyama mikoani ubovu wake nini na nataka .
Back
Top Bottom