Tatizo soka letu linaingiliwa na watawala ili kujinufaisha, kisiasa kumbe ndio wanaharibu kabisa! Tanzania inamwamuko mkubwa sana kwenye upande wa mpira wa miguu. Kuliko hata nchi senegal, kunaupande tutenganishe ili upande mwingine tufanikiwe.
Uzbekistan ni Asia, alafu hili ni kombe la dunia inatakiwa kushirikishwa mabara yote haijarishi timu za mabara mengine kiwango chao vipoje? Italia ni ujinga wao.
Hata hivyo mchambuzi wewe hauna point timu kikosi kinachoitwa 26. Sasa hapo mchezaji mmoja tu timu iwe mbovu na wanaocheza uwanjani ni 11. Na subs 4. Akiba 11??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.