Morroco nao ni kama wanatuona tunawaletea shobo tu hususan kwa sisi ngozi nyeusi tunaonekana kama tunajipendekeza.They pose a greater threat pamoja kuliko kumuacha Amad nje. Hiii game IC threw it away wajilaumu wenyewe. Tubaki na Morocco timu bora ya muda wote Africa.
Ana dharau mnoo.Kuna mtu alisema hapa
Nawaombea sanaa sanaa Senegal wafuzu.Belgium sio wazuri kiviiile,wakaze na wawe sharp watawafunga.Morocco wameonesha uwezo sana jana hadi wivu yaniMorroco nao ni kama wanatuona tunawaletea shobo tu hususan kwa sisi ngozi nyeusi tunaonekana kama tunajipendekeza.
Walitukataa long time, na first game yao tuli hate watch.
Sasa tukianza kujirudi kwasababu ya performance yao watatuona mamluki kwasababu hatukuanza nao pamoja kwenye hii safari yao.
Morroco timu wanayoNawaombea sanaa sanaa Senegal wafuzu.Belgium sio wazuri kiviiile,wakaze na wawe sharp watawafunga.Morocco wameonesha uwezo sana jana hadi wivu yani
Sanaa yaniii, game zao zote wanawatawala wanaocheza nao.Morroco timu wanayo
Yani ukitoa hate watching zetu, jamaa wako compact kweli kweli.
Ni kama hate yetu wanaitumia kama hamasa ya kuzidi kukaza.
Ghana yupo?
Mwengine mnapenda tucheke tu na huku tumeumizwa!!!Na badoooooooooo!
Si mlitaka kushabikia mipira!!!!
Kama unaroho ndogo achana na mipira shabikia Xxx au Ccm
Morroco nao ni kama wanatuona tunawaletea shobo tu hususan kwa sisi ngozi nyeusi tunaonekana kama tunajipendekeza.
Walitukataa long time, na first game yao tuli hate watch.
Sasa tukianza kujirudi kwasababu ya performance yao watatuona mamluki kwasababu hatukuanza nao pamoja kwenye hii safari yao.
Mi nitaendelea kuzishabikia timu zote pinzani itazokutana nazo.So long as wameingia WC under CAF ni timu ya Africa.
Mimi nawashabikia and I wish them the very best.
Ile ndo timu bora ya Africa ya muda wote. Hayo mengine nawaachia nyie.
Yatatokea maajabu mpaka utashangaa! Brazil akifungwa.?Njia ya Brazil kama nyepesi hivi! Hawa Norway wanapigwa na Brazil mapema sanaaaa
Brazil nao sio kama ni wakali kiivyo ila kwa alichokionesha leo Norway hapa sijui labda tusubiri hiyo siku ifike.Yatatokea maajabu mpaka utashangaa! Brazil akifungwa.?
Àsante itakuwa mech kaliGhana na Colombia tarehe 4