jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 11,423
- 11,378
🙏🙏🙏🙏Hizi kauli za namna hii zilikuwepo pia hata kabla ya Cape Verde hawajakutana na Spain,
Vamos Cape Verde!
🙏🙏🙏🙏Hizi kauli za namna hii zilikuwepo pia hata kabla ya Cape Verde hawajakutana na Spain,
Vamos Cape Verde!
Uzbekistan ni Asia, alafu hili ni kombe la dunia inatakiwa kushirikishwa mabara yote haijarishi timu za mabara mengine kiwango chao vipoje? Italia ni ujinga wao.Timu za kiboya kama Uzbekistan ndiyo ziliinyima nafasi Italia.
Afadhali hata Congo na timu nyingine za Afrika zina nafuu kuliko hizi za Ulaya mashariki
Mimi naona kapita, kwa zile goli tano tayari wenye point tatu kaishaa waacha wote by goal difference na hata wenye game moja mkononi wakitoboa wote, bado senegali ataangukia nafasi ya naneSenegal ni official kapita au kuna mchongo anauskilizia
Mkuu hawa wenye njano ndio qualified tayari bila kutegemea matokeo ya wenye mechi mkononi, sababu nimemuona na senegali hapo kwenye njano
Ili kombe wapewe wafaransaArgentina for another Word cup 🥰🔥🔥🔥
Wanajichosha tu Bora waipatie Argentina kombe lao mapema 😆
Hapo safi sanaSahihi kabisa
Bado hali ni ngumu kwa simba wa teranga
Kisa !??!!Ili kombe wapewe wafaransa
Hizi kauli za namna hii zilikuwepo pia hata kabla ya Cape Verde hawajakutana na Spain,
Vamos Cape Verde!
Huyu si kapita kawaida?10- Cape Verde 🇨🇻
Cape Verde na Belgium mbona wameingia bila u loser?TIMU NANE AMBAZO ZINA NAFASI YA KUPENYA KAMA BEST LOOSER WORLD CUP 2026.
1- Sweden 🇸🇪
2- Ecuador 🇪🇨
3- Bosnia 🇧🇦
4- Paraguay 🇵🇾
5- Senegal 🇸🇳
6-Croatia 🇭🇷
7- Korea Kusini
8- Algeria 🇩🇿
Msimamo wa Best Looser mpaka sasa timu nane (8) za Juu zaidi.
Nchi zingine ambazo zina nafasi ya kupenya ni pamoja na
9- Scotland 🏴
10- Cape Verde 🇨🇻
11- Belgium 🇧🇪
12- DR Congo