DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,304
- 2,717
Alhamdulillah Morocco wamempasua Netherland, huoni ni big happy morocco wamepitaGermany, Netherlands...
Sukumia nje na Portugal waungane na wapuuzi wenzie
😄😄💪🏽💪🏽💪🏽🇲🇦🇲🇦🇲🇦🇲🇦
Alhamdulillah Morocco wamempasua Netherland, huoni ni big happy morocco wamepitaGermany, Netherlands...
Sukumia nje na Portugal waungane na wapuuzi wenzie
Saf🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Argentine referee Facundo Tello will officiate the Portugal vs. Croatia Round of 32 match at the 2026 FIFA World Cup. 🇦🇷✅View attachment 3618987
Duh!..Sisi wafaransa tunamsubiri Morocco huko mbele ya safari, au Argentina, ndio timu za kuitoa Morocco hamna nyingne
😂😂😂😂Hakuna kazi ngumu kama kumchukia au kutomkubalia Leo messi pamoja na timu ya Morocco
Bado Australia mkuu??Kuna timu ya Asia imebaki mashindanoni? Ni japan tu ilikuwa imepita?
Australia si wana bara lao au mimi ndo nimechanganya mambo?Bado Australia mkuu??
Sante kwa mwongozo!
Kumbe, hapo nimewapataWalijitoa Oceania.
Wakaingia Asia.
Na wanaupiga sanaaaBado Australia mkuu??
Tatizo soka letu linaingiliwa na watawala ili kujinufaisha, kisiasa kumbe ndio wanaharibu kabisa! Tanzania inamwamuko mkubwa sana kwenye upande wa mpira wa miguu. Kuliko hata nchi senegal, kunaupande tutenganishe ili upande mwingine tufanikiwe.Hard work pays bro!
Tz tuache janja janja na siasa kwenye mpira, tuwekeze haswa kwenye soka, inalipa sana.
Inacheza kupitia shirikisho, la Asia yaani mwanachama wa Asia, AFC, umeelewa??Australia si wana bara lao au mimi ndo nimechanganya mambo?