TBC wanilipe fidia ya Milioni 500

TBC wanilipe fidia ya Milioni 500

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
3,524
Reaction score
9,591
TBC walitudanganya peke zao kwa raha zao kwamba wangetuonesha mechi zote za World Cup.

Nikaamua peke zangu kwa raha zangu kununua big screens na kuziweka kwa street.

Cha ajabu, watu wanakusanyika kusubiri mechi, TBC mara wanazindua vipindi vipya vya Safari Channel, mara mama yao anaongea peke zake kwa raha zake.

Nimekata tamaa. Naenda kuwaripoti ICC.

By. Habil and Qabil
 
TBC walitudanganya kwamba wangetuonesha mechi zote za World Cup.

Nikaamua zangu kwa raha zangu kununua big screens na kuziweka kwa street. Cha ajabu, watu wanakusanyika kusubiri mechi, TBC mara wanazindua vipindi vipya vya Safari Channel, mara mama yao anaongea peke yake kwa raha zake.

Nimekata tamaa. Naenda kuwaripoti ICC.

By. Habil and Qabil
Imekula kwako mzee!!
 
Tbc
 

Attachments

  • IMG_5126.jpeg
    IMG_5126.jpeg
    125.4 KB · Views: 13
Watu mna roho sio siri. Yaani mnaamini hao watu. Kuna uzi flani jamaa akasema wakenya hawana lolote hadi world cup wataiona kupitia azam ya tz nikabaki kucheka tu. Pamoja na kwamba ulifanya la maana sana kuweka tv mitaani sasa nan atakuja saa saba kuangalia mpira. Ng'oa hayo ma tv yote uzawadie hata vituo vya kulelea watoto yatima na nyingne peleka gerezani watafurahia sana. Icc usiwaongezee kazi nyingne coz kuna moja tunasubiri waimalize kwanza
 
TBC walitudanganya peke zao kwa raha zao kwamba wangetuonesha mechi zote za World Cup.

Nikaamua peke zangu kwa raha zangu kununua big screens na kuziweka kwa street.

Cha ajabu, watu wanakusanyika kusubiri mechi, TBC mara wanazindua vipindi vipya vya Safari Channel, mara mama yao anaongea peke zake kwa raha zake.

Nimekata tamaa. Naenda kuwaripoti ICC.

By. Habil and Qabil
Hao watu wamerudi tena
 
Robert Heriel Mtibeli nakumbuka ulisema hii kitu na imetokea kweli hawa jamaa TBC sijui namna gani yaan mbwembwe nyingi halafu wanaleta mambo ya ajabu,

Jana kuna mtu namwambia mpira umeanza? ananiambia Channel gani? namwambia TBC si walisema wanaonyesha gemu zote, eeh kacheck ananiambia hakuna namwambia kuna nini? ananiambia ooh wanaonyesha askofu anaapishwa nikamwambia muda huu wa mpira? ananiambia ndio, nilichoka sana
 
Back
Top Bottom