Recent content by Viva forever

  1. V

    Baiskeli zenye injini ........!!!

    Kama kuna duka la mota za volt mbalimbali JE liko wapi wadau? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. V

    Kifo cha kisiasa kwa Dr. Harrison Mwakyembe kinanukia

    Nampenda sana magufuli Kwa jinsi anavyoiua ccm badala ya upinzani
  3. V

    Hizi ni dalili za HIV?

    Mkuu ndo nan kwani [emoji53]
  4. V

    Varangati lazuka Club Maisha baada ya Harmorappa kurushiwa chupa wakati aki perform

    Ni kukosa confidence, hawajiamini na wivu nyuma yake. Wanaona atahit, atapaa na kuwa super! Wanahofu mademu zao, wanahofu kufunikwa, wanahofu kukubalika kwake na kuvuta mashabiki wake. Wana hofu maendeleo yake na wanahofu ujana wake. Ni roho ya kutu.
  5. V

    Siri ya ushindi wa CCM!

    Kwa muda mrefu chama cha mapinduzi (ccm) kimeonekana kuiongoza hii nchi kwa ushindi wa kupigiwa kelele. Chama hiki kilicho zeeka, kimeendelea kuishika nchi kwa mitindo na mbinu mbalimbali za panya na kuwaacha wapinzani midomo wazi wasijue wameibiwa wapi au wapi wamepigwa. Kila kitu kina mwisho...
  6. V

    Tajiri zungu la unga Ben Rowaza

    Ana utajiri wa kushtusha! Anamiliki mahotel na nyumba za kifahari za kutisha. Tapeli Ben rowaza mkaazi wa sinza, aliwahi kupata hekaheka za madawa ya kulevya, ugomvi na makonda. Alikamatwa akiwa na cheo cha koplo osterbay na kutakiwa akatoe maelezo ni juu ya kutajwa kwake na madawa ya kulevya...
  7. V

    Ndege vita za Israel zashambulia ndani ya Syria

    Mh! Hii news mbn Kama old!? Leo kweli nisijue!!?? Ngoja.....
  8. V

    Kama haya matukio ya Makonda yangekuwa ni Movie, Je ingepewa jina Gani?

    Ni movie siyo utani ni movie kwl! ccm inacheza movie katika maisha yetu. Inajisafisha kwa kutukaba makoo yetu. Inatumia kila mbinu hata za umungu umtu!
  9. V

    New world order ya line za simu tanzania itasaidia?

    Hivi majuzi makampuni ya simu nchini yalikaa meza moja kunywa na kula pamoja. Huku lengo ni kuyakutanisha katika makutano moja. Tigo, halotel, zantel, zain na vodacom kuwa katika hekalu moja! Ni furaha Kama nini kuwa selfie moja ya kibiashara na masirahi. JE, MUUNGANO HUU WA PAMOJA UTALETA...
  10. V

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Pesa zote hizi na nchi imeegemea pua!
  11. V

    Hii ndiyo gesti walimofikia wakimbizi wa Syria huko sinza

    Ni Kama movie au ndoto za alinacha, amini usiamini Tanzania gov imekubali kuwachukua wakimbizi toka syria na yemen! Sisemi wafukuzwe ila nina shaka juu ya uwepo wao hapa hasa ukizingatia nchi wanakotoka ni jalala sasa la magaidi. Je, hawa si IS? tutawaamini vipi kwamba wageni walioingia...
  12. V

    Msanii wa Marekani Will Smith, atua jijini Arusha

    Hayajagi bule haya majitu, kuna kitu kaja kupandikiza katika jamii. Ni mafree Mason's yakutupwa haya tena yale ya daraja la juu kabisa. Ukichunguza utaambiwa kaja kwa shughuli fulani but other side ni dangerous tupu! kuna kitu amekuja kukifanya ndani ya hii inchi. Obama alikuja na gia ya...
  13. V

    Je ni kweli Waisrael wamebarikiwa kuliko binadamu yeyote duniani?

    Ni kweli ila waarabu wanawatia kiza baraka zao, wanawawekea mkono wa shetani
Back
Top Bottom