New world order ya line za simu tanzania itasaidia?

New world order ya line za simu tanzania itasaidia?

Viva forever

Member
Joined
Feb 28, 2017
Posts
18
Reaction score
14
Hivi majuzi makampuni ya simu nchini yalikaa meza moja kunywa na kula pamoja. Huku lengo ni kuyakutanisha katika makutano moja. Tigo, halotel, zantel, zain na vodacom kuwa katika hekalu moja! Ni furaha Kama nini kuwa selfie moja ya kibiashara na masirahi. JE, MUUNGANO HUU WA PAMOJA UTALETA MABADILIKO AU FASHENI TU?
 
Back
Top Bottom