Tatizo lipo wapi? Ujinga ni pale mnapozidharau guest house kwa kuwa akili zenu zimejawa na uzinzi!
Mnasahau kwamba Guest House ni sehemu ya biashara tena inayoipa mapato serikali kama zilivyo biashara zingine!
Ni coincidence tu mkuu, mambo ya kiroho ni kweli yapo kwenye issue za mahusiano, ila hii yako ni ya kawaida sana, the fact kwamba hao wengine ulio taja hukuingia nao kwenye mahusiano.
Halafu kuzoeana na mwanamke haimaanishi ndio anakupenda, ni mambo ya kawaida sana!
Ila nikijaribu kukusoma...
Nami nimelisoma kwa style hiyo.
Ameshasema hata akichepuka huwa analazimisha kuliwa ndogo, means akipata mwanaume ambaye hatumii huo mtandao, bado atamkumbuka aliyemfundisha!! #SMH
Haya mambo ni magumu sana, Tatizo lipo hivi;
Anaweza akaachana na huyo mwanaume, then baada ya lets say mwaka mmoja, akapata mwanaume mwingine ambaye hajui A wala B kwamba mwenzake alikuwa na michezo ya kurukwa ukuta, mwanaume akatangaza ndoa akamuoa na kumfanya kuwa mwanamke wake wa heshima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.