Mabishano ya kidini yanafanywa na watu wenye Upeo Mdogo wa Akili

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
17,991
45,494
Ukikaa kwa umakini ukaanza kuzitafakari hizi dini zote zilizopo hapa Duniani lengo kuu ni MOJA tu kutafuta nguvu ya Mungu au miungu.

Sasa ukishalijua hili Jambo unapataje MUDA wa kubishana kuwa dini fulani ni bora na nyinginge sio Bora????

Kukua kiroho sio lazima uwe katika dini yoyote ni swala la kufata kanuni kama kujisikiliza Kuanzia ndani yako na kubalance nishati.

Kila imani ni Bora Hakuna imani Bora kuzidi nyinginge hivyo tujitahidi kuelewa haya mambo ili kuondoa migogoro ambayo haina ulazima.

Dini au imani ni Kama Kazi, watu tunafanya Kazi mbalimbali kwa lengo la kujipatia kipato na MAFANIKIO hivyo hivyo na katika imani watu hufata imani yoyote kwa lengo la kutafuta nguvu za kiroho, Mungu au miungu.
 
20231025_082432.jpg
 
1700024325976.png

19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

(Qur-an 3:19)
 
Ukikaa kwa umakini ukaanza kuzitafakari hizi dini zote zilizopo hapa Duniani lengo kuu ni MOJA tu kutafuta nguvu ya Mungu au miungu.

Sasa ukishalijua hili Jambo unapataje MUDA wa kubishana kuwa dini fulani ni bora na nyinginge sio Bora????

Kukua kiroho sio lazima uwe katika dini yoyote ni swala la kufata kanuni kama kujisikiliza Kuanzia ndani yako na kubalance nishati.

Kila imani ni Bora Hakuna imani Bora kuzidi nyinginge hivyo tujitahidi kuelewa haya mambo ili kuondoa migogoro ambayo haina ulazima.

Dini au imani ni Kama Kazi, watu tunafanya Kazi mbalimbali kwa lengo la kujipatia kipato na MAFANIKIO hivyo hivyo na katika imani watu hufata imani yoyote kwa lengo la kutafuta nguvu za kiroho, Mungu au miungu.
Kweli kabisa!
 
Ukikaa kwa umakini ukaanza kuzitafakari hizi dini zote zilizopo hapa Duniani lengo kuu ni MOJA tu kutafuta nguvu ya Mungu au miungu.

Sasa ukishalijua hili Jambo unapataje MUDA wa kubishana kuwa dini fulani ni bora na nyinginge sio Bora????

Kukua kiroho sio lazima uwe katika dini yoyote ni swala la kufata kanuni kama kujisikiliza Kuanzia ndani yako na kubalance nishati.

Kila imani ni Bora Hakuna imani Bora kuzidi nyinginge hivyo tujitahidi kuelewa haya mambo ili kuondoa migogoro ambayo haina ulazima.

Dini au imani ni Kama Kazi, watu tunafanya Kazi mbalimbali kwa lengo la kujipatia kipato na MAFANIKIO hivyo hivyo na katika imani watu hufata imani yoyote kwa lengo la kutafuta nguvu za kiroho, Mungu au miungu.
duh! Hapo umenena maana watu wanaangamia kwa kukosa maaarifa
 
Hakuna imani Bora kuzidi nyinginge
Nadhani hilo ni msimamo wako,Kuna imani zengine unaweza kulia mchana kutwa na hakuna WA kukuuliza.Kuna Imani imetumbukia kwenye shimo reeefu.

SI sahihi kumwacha mtu apotee,ni jukumu letu Mimi na wewe kuwaeleza.

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.

Yohana 14:9

“Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba;

Mje na majibu mepesi mepesi ooh bila kujazwa roho mtakatifu huwezi elewa.
 
Nakuunga mkono,
Ni upuuzi kuanza kubishana kuhusu dini huku kila mmoja akiamini yuko sahihi zaidi ya mwenzie.

Unawezaje kumlazimisha mtu akubaliane na wewe ilihali hatupo kwenye misingi ya dini yako?
 
View attachment 2814130
19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

(Qur-an 3:19)
Kuna hili swali, waislam wengi wanalikwepa. Je waliopewa kitabu ni akina nani?
 
Back
Top Bottom