sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
nikiwa shuleni kulikuwa na binti anafanana na jina la mamdogo wangu, sijisifii lakini kiukweli alikuwa anafanya sana jitihada tuwe karibu japo nilikuwa domo zegei, alishajaribu kunipa vizawadi kadhaa, kunitetea mara kadhaa, n.k japo nilimuangusha sana wengine wakamchukua
Nilipoanza chuo nikakutana na mwengine ni jina la mama yangu na ni la kikabila japo yeye alikuwa sio kabila la mama, tulipendana sana ila alirudi kwao.
Mwengine nae mwaka juzi tulikutana ni jina la mama mdogo, yani suala la kuzoeana kwanza ni haraka tu, kila dalili zilikuwepo kwamba tunaweza kuwa couple ila ilishindikana tayari nilikuwa kwenye mahusiano ya uhakika.
Ila huwa ni nadra sana kukutana na mwanamke aliefanan jjna la mama yangu amam mama mdogo.
Siamini sana mambo ya kiroho ila kwenye hili nadhani kuna chembechembe zake
Nilipoanza chuo nikakutana na mwengine ni jina la mama yangu na ni la kikabila japo yeye alikuwa sio kabila la mama, tulipendana sana ila alirudi kwao.
Mwengine nae mwaka juzi tulikutana ni jina la mama mdogo, yani suala la kuzoeana kwanza ni haraka tu, kila dalili zilikuwepo kwamba tunaweza kuwa couple ila ilishindikana tayari nilikuwa kwenye mahusiano ya uhakika.
Ila huwa ni nadra sana kukutana na mwanamke aliefanan jjna la mama yangu amam mama mdogo.
Siamini sana mambo ya kiroho ila kwenye hili nadhani kuna chembechembe zake