Nchi ya Ujerumani imepangika vizuri sana(Kiuchumi)

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,238
12,755
Nchi nyingi duniani utasikia kuna jiji moja tu ambalo ndiyo kila kitu kwa nchi. Unakuta jiji la pili kwa umuhimu kwenye hiyo nchi linafuata kwa mbali sana. Mtu akisikia UK anawaza London. Mtu akisikia France anawaza Paris. Tanzania anawaza Dar es Salaam. Ujerumani ni tofauti kabisa. Kila mji ni mbabe kwenye eneo lake.

Germany-Map-678x882.jpg


Bandari kubwa Ujerumani ni Hamburg. Mji mkuu ni Berlin. Mji wa mkuu wa kifinance ni Frankfurt. Mji/miji mikuu ya viwanda ni eneo lenye miji ya Dortmund, Dusseldorf, Cologne. Huko ndiko kuna viwanda vingi, watu wengi na mabilionea. Mji wa kitalii, kitajiri na watu kuishi poshy lifestyle ni Munich. Huu mgawanyo unafanya nchi iwe vizuri sana.
 
Hasa kutokana na historia ya Ujerumani. Ujerumani ni kama muunganiko wa vikingdoms vidogo vidogo vingi ambavyo kila kimoja kilikuwa na kama mji mkuu wake. Hiyo miji ilikuwa ya maana na imekuwa hivyo hadi leo.
Ndo ivo mkuu, kwa sisi kua kama hao sio rahisi.

Hivi habari ya kua before 15th century tulikua sawa na watu wa huko ilitoka wapi??
Maana hata 1800's tu hapo inathibitisha jinsi tulivyokua nyuma
 
Badala ya kutamani vya watu. Ni vizuri zaidi mkatazama vya kwenu muone mtafika vipi kwenye hivyo viwango.

Rais mwingine mwenye akili na modern vision. Serikali nyingine yenye viongozi vijana wanaojia dunia inaenda vipi recently. Civilian and military R&D Funds.
National infrastructure rearrangements.
After that tutakuwa the first, first world country Africa.

Tukifanya hivyo Africa na dunia nzima itavutiwa kwetu hivyo kutuongezea fursa zaidi.

Otherwise mtaishia kutoa macho tu kwa wenzetu, kusifia na kusujudu kama maretards. Huku yale mababu na mazee yasiotaka kubadilisha mifumo yakisinzia serikalini.
 
Bandari kubwa Ujerumani ni Hamburg. Mji mkuu ni Berlin. Mji wa mkuu wa kifinance ni Frankfurt. Mji/miji mikuu ya viwanda ni eneo lenye miji ya Dortmund, Dusseldorf, Cologne. Huko ndiko kuna viwanda vingi, watu wengi na mabilionea. Mji wa kitalii, kitajiri na watu kuishi poshy lifestyle ni Munich. Huu mgawanyo unafanya nchi iwe vizuri sana.
Na wapoishi makabwela wenzangu na Sisi njaa kali milo mitatu kwa mbinde ni wapi Augsburg, Wolfsburg, Stuttgart, Werder Bremen, Bayern Leverkusen, au Borussia Monchengladbach?
 
Naonaga
Ujerumani ni Nchi ambayo, ipo Stable Sanaa, Kuachilia mbali Miji, ila imebalance kwenye mambo mengi, Kila kitu kwao ni muhimu, iwe maji, barabara, afya, ulinzi, technology, Jeshi..

Hawajataka kitu kimoja ndio kifuniks vingini
 
Makao makuu ya nchi hayaangalii kigezo kimoja tu km wewe ulivyoegemea kuwa dodoma ni semi desert

Kuna vigezo vingi

Jangwa sio kigezo kumbuka dubai ni jangwa mara tatu zaidi ya dodoma ila mamegeuza kuwa miongoni mwa majiji ya kitalii duniani
Mpaka leo ndio tunatenga makao makuu ya nchi yaani baada ya miaka zaidi ya 60 😳😳
 
Nchi nyingi duniani utasikia kuna jiji moja tu ambalo ndiyo kila kitu kwa nchi. Unakuta jiji la pili kwa umuhimu kwenye hiyo nchi linafuata kwa mbali sana. Mtu akisikia UK anawaza London. Mtu akisikia France anawaza Paris. Tanzania anawaza Dar es Salaam. Ujerumani ni tofauti kabisa. Kila mji ni mbabe kwenye eneo lake.

View attachment 2946004

Bandari kubwa Ujerumani ni Hamburg. Mji mkuu ni Berlin. Mji wa mkuu wa kifinance ni Frankfurt. Mji/miji mikuu ya viwanda ni eneo lenye miji ya Dortmund, Dusseldorf, Cologne. Huko ndiko kuna viwanda vingi, watu wengi na mabilionea. Mji wa kitalii, kitajiri na watu kuishi poshy lifestyle ni Munich. Huu mgawanyo unafanya nchi iwe vizuri sana.
Ukienda china sasa ndio utashangaa zaid
 
Back
Top Bottom