mimi nimesoma bacherol ya Biotechnology and laboratory sciences na miejaribu kuapply kazi kama vile laboratory scientist katika biochemostry au microbilogy na unakuta wanaweka pale kozi wanaotakiwa kuapply kama vile Bsc in moleculae biology, microbiology, biotechnology and molecula biology, au biochemistry na ama kozi zingine zinazoendana na izo sa ukiapply mtu wa biotechnology and laboratory sciences et unaambiwa vigezo huna kwasababu degree yako haiendani na mahitaji ya kazi mapaka najiuliza hii system mbona ya kipuuzi ivi?