Vizur lakin kwa hiyo kesi yako unatakiwa utazame mazingira kwanza ni rafiki nabhiyoo biashara utakayo taka kuianzisha ukipaona pako okey mnaanza sasa hapo kidogo kidogo kesi imeisha
Ya uzi kiukweel sema huwez kumuhukum mtu huwez jua labda yuko bize lakin inategemea huwez kuwa bz wk nzima huna muda wa kumpa hata chembe ya dk mpz wako itakuwa muongo tu unatafuta ustaraabu mwingne
Ndugu acha nae huyo yakija kumkuta mabaya itakuwa ww ndio umemuingiza hakuna watu wazuri kama wazungu lakin pia hakuna watu wa baya kama wanzungu hao hao take care aw muache dada na msimamo wake Mwambie mzungu yeye amtafute kwa nafas yake na mpe pongezi saana rafiki yako kwa msimamo ulio thabiti...
Alaf acha kujisifia bana kuwa na watoto wa nje 7 sio sifa boy ujinga huo ww wazazi wako wange kuzaa nje waanze kutamba hivyoo acha upimbi ww subir mumewarud ukamuombe msamaha yeye kwanza kisha nfio umuombe mungu msamaha maana mungh hawez kusamehe
Wao hawana shida na kombe wanashida ya kuifunga yanga kombe wanatuachia sisi ndio maana match yetu wakajua wakitufunga rooho yao saafi lakin kama wametukosa jmosi bas wasahau maaana hapo msimu utakapo pinduka sijaona maaana usajili wa dirisha dogo sio wa kitoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.