van xoussam
Member
- Sep 22, 2015
- 29
- 13
Wao hawana shida na kombe wanashida ya kuifunga yanga kombe wanatuachia sisi ndio maana match yetu wakajua wakitufunga rooho yao saafi lakin kama wametukosa jmosi bas wasahau maaana hapo msimu utakapo pinduka sijaona maaana usajili wa dirisha dogo sio wa kitoto