Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

pole sana siasa zitakupeleka kubaya kuliko kuwakabidhi wanasiasa ufunguo wa maisha yako ni bora ukabadili kitasa kuna maisha nje ya siasa
HAHA HII NI MIE NA KIZAZI CHANGU CCM KWANGU NI ADUI NAMBA MOJA SO NITAHAKIKISHA HATA MTOTO WANGU ANAICHUKIA KAMA MIE NITAMKUZA NA KUMFUNZA KUWA WATU WA CCM NDO WANASABABISHA MATATIZO YOTE YALIYOPO I MEAN NITAMKARIRISHA KUWA HATA HAWA MBU WANAOTUUMA WANALETWA NA CCM .........NAJUA NA YEYE ATAAMINI NA ATAZALISHA WAPINZANI WENGINE WENGI TU ............
 
HAHA HII NI MIE NA KIZAZI CHANGU CCM KWANGU NI ADUI NAMBA MOJA SO NITAHAKIKISHA HATA MTOTO WANGU ANAICHUKIA KAMA MIE NITAMKUZA NA KUMFUNZA KUWA WATU WA CCM NDO WANASABABISHA MATATIZO YOTE YALIYOPO I MEAN NITAMKARIRISHA KUWA HATA HAWA MBU WANAOTUUMA WANALETWA NA CCM .........NAJUA NA YEYE ATAAMINI NA ATAZALISHA WAPINZANI WENGINE WENGI TU ............
Lakini ajabu umewaweka DP wanaCCM wakipiga kampeni!...hamna picha ya mbowe na lowassa walopiga ukaweka!??..
Upinzani ni stoo ya CCM.
 
mimi sina la kusema ila ccm ni hawahawa tuko nao kitaa ole wa mwana ccm aingie 18 yangu iwe kwa harusI ama Msiba.. atakiona cha mtemakuni
jana tumemzabua mmoja mtaani tukamfukuza kama jibwa hatutaki wakae karibu yetu wachape lapa.... WANAFIKI JITU LINASHABIKIA CCM ILA LINATUOMBA BIA LIKAOMBE MAGOGONI HUKO


usemacho ni sawa Mulhat Mpunga yakafie front huko !sitakag ushoga na jitu la ccm mie jaman yaan siwez kbs !

cc@siyabonga101
 
mimi sina la kusema ila ccm ni hawahawa tuko nao kitaa ole wa mwana ccm aingie 18 yangu iwe kwa harusI ama Msiba.. atakiona cha mtemakuni
jana tumemzabua mmoja mtaani tukamfukuza kama jibwa hatutaki wakae karibu yetu wachape lapa.... WANAFIKI JITU LINASHABIKIA CCM ILA LINATUOMBA BIA LIKAOMBE MAGOGONI HUKO
Akili ndogo na zisizokuwa frexble ndio znatufanya tudumae miaka yote..
Pole sana Ndg yangu tambua ya kwamba hakuna mwanasiasa yeyote atakayekufanya uwe na maisha mazuri ww.

Siasa ipo kwaajili ya matumbo ya wanasiasa..
Utawachukia watu bure kwa upumbavu wako..
Jishughulishe Fanya kazi hutakuwa na mda wa kuwawaza ccm wala cdm
 
Ule uzi kuhusu kukamatwa kwa Masoud umefutwa na Mods..nini maana yake?...hajakamatwa?, au ameachiwa?...nchi hii bhana aaah..
 
Back
Top Bottom