Huyu mwanamke anamsimamo mkali au?

Huyu mwanamke anamsimamo mkali au?

Ndugu acha nae huyo yakija kumkuta mabaya itakuwa ww ndio umemuingiza hakuna watu wazuri kama wazungu lakin pia hakuna watu wa baya kama wanzungu hao hao take care aw muache dada na msimamo wake Mwambie mzungu yeye amtafute kwa nafas yake na mpe pongezi saana rafiki yako kwa msimamo ulio thabiti saaafi saana
 
Twende kwenye Mada bila kuwachosha...
Sehemu ninayofanyia kazi kuna Dada mmoja rafiki yangu sana,huwa tunataniana na tunaukaribu ule wa kirafiki,huwa tunashauriana baadhi ya mambo na tunafanya kazi kwa ukaribu sana kutokana na ukaribu wa vitengo vyetu.Hayo pamoja na mengine yamenifanya Mimi kuwa karibu nae sana kuliko MTU mwingine yeyote pale ofisini.


Ofisini kwetu tunafanya kazi na wazungu kadhaa ,ni kwa muda sasa amekuwa akiniomba ushauri juu ya mzungu mmoja ambae amekuwa akimtongoza Mara kwa mara. Kwaninavyomjua nilijua kabisa kwamba hawezi kumkubalia kwani alinieleza zaidi ya Mara moja jinsi gani asivyovutiwa na ngozi nyeupe...anadai huwa anaskia kichefuchefu na hawapendi kweli kweli....

Juzi kati huyo mzungu bwana alinifuata na kunitia ktk majaribu,alinieleza ni jinsi gani anampenda yule binti na yupo tayari kumuoa endapo atakubali kuwa nae.

Kiukweli mzungu yupo vizuri financially na ameahidi kumsaidia sana huyo mke wake mtarajiwa endapo atamkubalia kuwa nae....amenieleza plani nyingi nzuri ambazo hajazi expose kwa binti .


Amenifuata kuniomba nimsaidie kumpata huyu binti kutokana naukaribu tuliokuwa nao...

Anataka huyo Dada ampende bila kutumia ushawishi wa pesa..

Nimejaribu kuongea Mara kadhaa na huyu Dada amekataa kabisa kuwa na mahusiano na hiyo ngozi nyeupe,.

Nimetumia kila mbinu kushawishi lakini amekataa kata kata..Isitoshe hayupo kwenye mahusiano na MTU yeyote kwa sasa.

Sipendi ngozi nyeupe......

Naomba ieleweke kwamba Mimi sio kuwadi,kutokana na circumstances iliyopo nililazika kutoa msaada,lengo langu Dada huyu awe na maisha mazuri na mzungu spate kipendacho roho..Ukizingatia huyu Dada anatoka ktk familia duni huku ndugu na wadogo zake wakimtegemea pamoja na kwamba ana pesa kidogo za kubadilisha mboga.

Nimeleta kwenu wajuvi wa mambo JF mtoe ushauri nini kifanyike.

Asanteni.
Mk

Mkuu mambo ya kumsaidia ameniambia Mimi ,binti hajui upande wa pili.

Asante kwa ushauri.
Twende kwenye Mada bila kuwachosha...
Sehemu ninayofanyia kazi kuna Dada mmoja rafiki yangu sana,huwa tunataniana na tunaukaribu ule wa kirafiki,huwa tunashauriana baadhi ya mambo na tunafanya kazi kwa ukaribu sana kutokana na ukaribu wa vitengo vyetu.Hayo pamoja na mengine yamenifanya Mimi kuwa karibu nae sana kuliko MTU mwingine yeyote pale ofisini.


Ofisini kwetu tunafanya kazi na wazungu kadhaa ,ni kwa muda sasa amekuwa akiniomba ushauri juu ya mzungu mmoja ambae amekuwa akimtongoza Mara kwa mara. Kwaninavyomjua nilijua kabisa kwamba hawezi kumkubalia kwani alinieleza zaidi ya Mara moja jinsi gani asivyovutiwa na ngozi nyeupe...anadai huwa anaskia kichefuchefu na hawapendi kweli kweli....

Juzi kati huyo mzungu bwana alinifuata na kunitia ktk majaribu,alinieleza ni jinsi gani anampenda yule binti na yupo tayari kumuoa endapo atakubali kuwa nae.

Kiukweli mzungu yupo vizuri financially na ameahidi kumsaidia sana huyo mke wake mtarajiwa endapo atamkubalia kuwa nae....amenieleza plani nyingi nzuri ambazo hajazi expose kwa binti .


Amenifuata kuniomba nimsaidie kumpata huyu binti kutokana naukaribu tuliokuwa nao...

Anataka huyo Dada ampende bila kutumia ushawishi wa pesa..

Nimejaribu kuongea Mara kadhaa na huyu Dada amekataa kabisa kuwa na mahusiano na hiyo ngozi nyeupe,.

Nimetumia kila mbinu kushawishi lakini amekataa kata kata..Isitoshe hayupo kwenye mahusiano na MTU yeyote kwa sasa.

Sipendi ngozi nyeupe......

Naomba ieleweke kwamba Mimi sio kuwadi,kutokana na circumstances iliyopo nililazika kutoa msaada,lengo langu Dada huyu awe na maisha mazuri na mzungu spate kipendacho roho..Ukizingatia huyu Dada anatoka ktk familia duni huku ndugu na wadogo zake wakimtegemea pamoja na kwamba ana pesa kidogo za kubadilisha mboga.

Nimeleta kwenu wajuvi wa mambo JF mtoe ushauri nini kifanyike.

Asanteni.
 
Twende kwenye Mada bila kuwachosha...
Sehemu ninayofanyia kazi kuna Dada mmoja rafiki yangu sana,huwa tunataniana na tunaukaribu ule wa kirafiki,huwa tunashauriana baadhi ya mambo na tunafanya kazi kwa ukaribu sana kutokana na ukaribu wa vitengo vyetu.Hayo pamoja na mengine yamenifanya Mimi kuwa karibu nae sana kuliko MTU mwingine yeyote pale ofisini.


Ofisini kwetu tunafanya kazi na wazungu kadhaa ,ni kwa muda sasa amekuwa akiniomba ushauri juu ya mzungu mmoja ambae amekuwa akimtongoza Mara kwa mara. Kwaninavyomjua nilijua kabisa kwamba hawezi kumkubalia kwani alinieleza zaidi ya Mara moja jinsi gani asivyovutiwa na ngozi nyeupe...anadai huwa anaskia kichefuchefu na hawapendi kweli kweli....

Juzi kati huyo mzungu bwana alinifuata na kunitia ktk majaribu,alinieleza ni jinsi gani anampenda yule binti na yupo tayari kumuoa endapo atakubali kuwa nae.

Kiukweli mzungu yupo vizuri financially na ameahidi kumsaidia sana huyo mke wake mtarajiwa endapo atamkubalia kuwa nae....amenieleza plani nyingi nzuri ambazo hajazi expose kwa binti .


Amenifuata kuniomba nimsaidie kumpata huyu binti kutokana naukaribu tuliokuwa nao...

Anataka huyo Dada ampende bila kutumia ushawishi wa pesa..

Nimejaribu kuongea Mara kadhaa na huyu Dada amekataa kabisa kuwa na mahusiano na hiyo ngozi nyeupe,.

Nimetumia kila mbinu kushawishi lakini amekataa kata kata..Isitoshe hayupo kwenye mahusiano na MTU yeyote kwa sasa.

Sipendi ngozi nyeupe......

Naomba ieleweke kwamba Mimi sio kuwadi,kutokana na circumstances iliyopo nililazika kutoa msaada,lengo langu Dada huyu awe na maisha mazuri na mzungu spate kipendacho roho..Ukizingatia huyu Dada anatoka ktk familia duni huku ndugu na wadogo zake wakimtegemea pamoja na kwamba ana pesa kidogo za kubadilisha mboga.

Nimeleta kwenu wajuvi wa mambo JF mtoe ushauri nini kifanyike.

Asanteni.
Naomba nitoe ushauri bila unafiki
1.Hiyo ofisi mnafanya kazi saa ngapi mpaka mna huo muda ivo.Ndio maana Tanzania shida haziishi
2.Wewe ndio kuwadi ingawa umekataa kujiita kuwadi na inawezekana unamtaka huyo bibie.
3.Huyo mwanamke akija kukubali kwa mzungu wewe utaonekana fala.Nakushauri ujitoe mapema katika hiyo chain.Mzungu aende mwenyewe.Mzungu wa wapi anashindwa kumtongoza mmbongo?
4.Wewe uko karibu ya huyo dada na inaonekana ushajenga hisia nae na unablock kick za mzungu.Kaa mbali na huyo dada Mzungu ale.Au kama vipi kula wewe mzungu ajue moja.KIFUPI UNAMZINGUA MZUNGU,UNAMWEKEA USIKU.
 
Kuna mawili hapa nayaona......

Kwanza namsifu na kumpongeza sana dada, kuolewa kwa sababu ni mzungu au ana hela ni kujaribu kujitafutia majaribu na shida huko mbele, muache dada aolewe na anaempenda. Ingekuwa ni wewe mkuu unaombwa au kushawishiwa kumuoa mtu fulani usiyempenda kabisa hadi kufikia hatua unasikia kichefuchefu ukiwa nae ungekubali kwa sababu fulani yoyote ile kama ya uwezo au yoyote ile?

Pili, huyo mzungu nae vipi? Anaingiaje na gia za kusema akinikubali nitamsaidia sana? Tongoza gani hiyo? Ni bora angeng'ang'ania tu kuwa anampenda baaaasi! Hayo ya kumsaidia yangekuja yenyewe automatic mbeleni huko.

All in all, namsifu dada na usimlazimishe wala kutumia ushawishi kumuingiza kwenye ndoa na asiyempenda. NDOA NI ZAIDI YA KUVAA SHELA NA SUTI MKUU!
Au unaweza kuta huyo dada ana mambo ya kiswahili sana na ngeli haipandi.So anaona akiwa na mzungu ma meseji yao yale ya nambrieee...xoxo hayapandi kwa mzungu[emoji1] [emoji1]
 
Twende kwenye Mada bila kuwachosha...
Sehemu ninayofanyia kazi kuna Dada mmoja rafiki yangu sana,huwa tunataniana na tunaukaribu ule wa kirafiki,huwa tunashauriana baadhi ya mambo na tunafanya kazi kwa ukaribu sana kutokana na ukaribu wa vitengo vyetu.Hayo pamoja na mengine yamenifanya Mimi kuwa karibu nae sana kuliko MTU mwingine yeyote pale ofisini.


Ofisini kwetu tunafanya kazi na wazungu kadhaa ,ni kwa muda sasa amekuwa akiniomba ushauri juu ya mzungu mmoja ambae amekuwa akimtongoza Mara kwa mara. Kwaninavyomjua nilijua kabisa kwamba hawezi kumkubalia kwani alinieleza zaidi ya Mara moja jinsi gani asivyovutiwa na ngozi nyeupe...anadai huwa anaskia kichefuchefu na hawapendi kweli kweli....

Juzi kati huyo mzungu bwana alinifuata na kunitia ktk majaribu,alinieleza ni jinsi gani anampenda yule binti na yupo tayari kumuoa endapo atakubali kuwa nae.

Kiukweli mzungu yupo vizuri financially na ameahidi kumsaidia sana huyo mke wake mtarajiwa endapo atamkubalia kuwa nae....amenieleza plani nyingi nzuri ambazo hajazi expose kwa binti .


Amenifuata kuniomba nimsaidie kumpata huyu binti kutokana naukaribu tuliokuwa nao...

Anataka huyo Dada ampende bila kutumia ushawishi wa pesa..

Nimejaribu kuongea Mara kadhaa na huyu Dada amekataa kabisa kuwa na mahusiano na hiyo ngozi nyeupe,.

Nimetumia kila mbinu kushawishi lakini amekataa kata kata..Isitoshe hayupo kwenye mahusiano na MTU yeyote kwa sasa.

Sipendi ngozi nyeupe......

Naomba ieleweke kwamba Mimi sio kuwadi,kutokana na circumstances iliyopo nililazika kutoa msaada,lengo langu Dada huyu awe na maisha mazuri na mzungu spate kipendacho roho..Ukizingatia huyu Dada anatoka ktk familia duni huku ndugu na wadogo zake wakimtegemea pamoja na kwamba ana pesa kidogo za kubadilisha mboga.

Nimeleta kwenu wajuvi wa mambo JF mtoe ushauri nini kifanyike.

Asanteni.
Mkuu please and please nina dada zangu wanapenda wazungu kama hautajali naomba umuunganishe huyo mzungu kwa Wadada hawa ni wazuri sana najua huyo mzungu akiwaona hatabanduka. Yaani ni ndoto yao ya siku nying sana
 
Back
Top Bottom