Mkurugenzi Shule ya Udereva Butiama Driving School yenye usajili namba 288850 inayofundisha udereva wa Bodaboda,Bajaji,na Magari Madogo,anatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo :-
1.Nafasi 1 :Manager
Sifa: Awe mwenyewe umri wa miaka 21-55,Awe amehitimu kidato cha 4 na kuendelea,Awe na elimu...