Mabinti wanajifanya expensive mitaani wanalia kwenye social network

raia_mwema

JF-Expert Member
Oct 10, 2012
479
313
Hili swala linanishangaza saana. Sina lengo la kuwadhalilisha, kuwakashifu au kuwatukana mabinti.

Mabinti wengi wanajifanya expensive, wanawakataa watu kwa maneno tena ya dharau halafu wanakuja kulia lia kwenye mitandao. Wengine wamekosa utashi kabisa wanataka kuishi maisha ya kufikirika, wanaukataa uhalisia wa maisha. Inachekesha sana pale binti anapowaza kuolewa na gari, maisha ya kifahari na mambo mengine ya anasa. weekend hakuna kupika watu wanataka wakale bugger na piza, kisha waende cinema hall. Ndioa maana mabinti wengi wanaishia kulizwa kila kukicha wanabaki kujiita single mother, baada ya kujikuta wanaume walio nao ni waume za watu. Wengine wanaobahatika kupata ndoa hugeuka kuwa pili pili baada ya muda mfupi!

Kumbukeni maisha yanatafutwa, usitegemee sana mteremko katika maisha. Ukibahatika kupata mteremko sawa. Msithaminishe saana na kuweka hela mbele bali weka upendo mbele, kisha mkiingia kwenye ndoa basi mjitahidi kuwa creative na mjibidiishe katika kufanya kazi, huku mkimwomba MUNGU ipo siku mtafanikiwa. Acha kuwaza kuokota gari njiani...
 
Unasema una Hela, unahela gani umekonda hivyo?....aliambiwa Fundi mmoja hivi tena mbele yangu...huyo dada hajaolewa yaani anavizia waume za watu na vijana wenye tupesa mjini....huyo Fundi hajaoa ila pesa mdogo mdogo anazo....za kuhonga wanawake hana...mm nikacheka sana!!!. Wanataka penye fursa, yaani aliyezaa naye ni mume wa mtu na hana habari naye
 
Acheni kulalamika
15538178_435503160172974_1709748359377453056_n.jpg
 
Unasema una Hela, unahela gani umekonda hivyo?....aliambiwa Fundi mmoja hivi tena mbele yangu...huyo dada hajaolewa yaani anavizia waume za watu na vijana wenye tupesa mjini....huyo Fundi hajaoa ila pesa mdogo mdogo anazo....za kuhonga wanawake hana...mm nikacheka sana!!!. Wanataka penye fursa, yaani aliyezaa naye ni mume wa mtu na hana habari naye
Wanataka hela wakati hawajui tunazipata vipi..pumbafu saana...
Kikweli sahivi mabinti wa karne hii,no janga zaid ya drugs,mana daaah
halafu mtu akifikisha 28+ yrs utasikia sitaki kuchezewa tena, no sex before marrage! wakati wameshatumika vilivyo!
 
Back
Top Bottom