Tupeane changamoto za kuwa na uhusiano na Single mothers

Jimmy George

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
1,733
1,648
Habari ndugu zangu katika JF.

Uzi huu hauna lengo la kuwasema vibaya single mothers nawaheshimu na kuwapenda. Lengo ni kujua changamoto zipi unaweza kukutana nazo ukiwa na uhusiano nao, hii itasaidia hata yule anataka kuanzisha uhusiano nao. Changamoto ambazo nimeona mimi ni ;
1. Kuwasiliana na mzazi mwenza
★hapa unakuta anawasiliana na mzazi mwenzake kuhusu mtoto mara atumiwe hela au aombe hela kwa ajili ya mtoto au wanasalimiana kujuliana hali tu. Wengine ni changamoto maana tuna wivu

2. Kukulinganisha wewe na mzazi mwenzake
★hapa anaweza akasema baba naniii alikuwa ananifanyia hivi,mara tukiwa wote tulikuwa tunafanya hivi na mengineyo,muda mwingine akitaka tu nawe ufanye baadhi kama yule wakati tuko tofauti binadamu.

3. Muda mwingine humjali mtoto zaidi kuliko wewe.
★Huweza asifanye baadhi ya mambo kwa ajili yako maana huwa busy na mtoto. Pia endapo ikitokea umemfokea mwanae kidogo tu mnaweza mkagombana.


Kama unazijua changamoto zingine ongezea tujadili.
 
Single mother wangu nampenda sana! Haitaji chochote kutoka kwa baba watoto wake...akitaka kumwona mwanae anakuja home siku ambayo nipo akiamua kuondoka nae poa anamrudisha siku ya shule! Na mimi namtega siku Ajidai shetani kampitia Tu.....Nimeshakubali majukumu yote hakuna namna ila kama kawaida mguu wangu mmoja upo nje Hawaaminiki hawa.
 
Single mothers wengi hawana maadili, yaani si wife materials. Ndiyo maana wakaachwa na hao walio wazalisha? Uliona wapi mtu akaacha kitu kizuri? (hii haiwahusu wale walio bakwa ama kufiwa na wenzi wao).

Sasa wewe jipachike tu kwa single mother ukijifanya ni malaika utajuta. Mwanaume mwenzio kamzalisha kabisa kisha kasurrender wewe unajiingiza. Mfupa huo, ulimshinda mtu aliyeitwa baby tena wakati huyo single mother akiwa kigoli, maana yake alimzimia mshikaji kwelikweli. Sasa kachoshwa na maisha anataka umsaidie kwa siku kadhaa kulea huyo /hao watoto.

Hawako sawa kisaikolojia, wameathirika. Kuachiwa mtoto au watoto mchezo. Unaingia kwenye penzi na aliyevurugwa (single mother) shauri zako
 
Mimi niko kihivi yaani
Nimelelewa n.a. single parent mother
Changamoto

Imeniweka mbalin.a. mshua hadi Sasa sioninafasi yake namtambua kama biological faza

Iliniweka zaidi karibun.a. maza nampenda pia sana

Ilinifanya niwe wazi kwa maza she was before marriage the one and only closer

Imeniaminisha/imeniathiri kisaikologia kidogo naelewa sioni shakakama una uwezo mwanamke kuwa single parent
 
Siwezi kuoa wala kudate na single maza,ni kutojiamini.kwanza siwapendi kwa saabu hawapo romantic kabisa,muda mwingi wanautumia kuwaza watoto wao kuliko wewe na pia anaweza kukuomba wewe hela za matumizi ya mtoto wake ilihali baba yake yu hai.siwataki na siwahitaji kamwe
 
Wengi ni pasua kichwa sana.

Ukijiingiza kwa single mothers jiandae kufa kwa stress kabla ya muda wako.
Mi nadhani inategemeana na yeye mwenyewe
Single mothers wengi hawana maadili, yaani si wife materials. Ndiyo maana wakaachwa na hao walio wazalisha? Uliona wapi mtu akaacha kitu kizuri? (hii haiwahusu wale walio bakwa ama kufiwa na wenzi wao).

Sasa wewe jipachike tu kwa single mother ukijifanya ni malaika utajuta. Mwanaume mwenzio kamzalisha kabisa kisha kasurrender wewe unajiingiza. Mfupa huo, ulimshinda mtu aliyeitwa baby tena wakati huyo single mother akiwa kigoli, maana yake alimzimia mshikaji kwelikweli. Sasa kachoshwa na maisha anataka umsaidie kwa siku kadhaa kulea huyo /hao watoto.

Hawako sawa kisaikolojia, wameathirika. Kuachiwa mtoto au watoto mchezo. Unaingia kwenye penzi na aliyevurugwa (single mother) shauri zako
Ila si kila single mother huwa ni chanzo cha kuachwa na mzazi mwenzake muda mwingine wanaume huwa tunaamua tu kuwaacha ukiona kapoteza uzuri uliokuwa unamuona mwanzo.
mnawafata ma single mother kwa nini?...
Kwani hawana haki ya kupendwa mkuu ?
Siwezi kuoa wala kudate na single maza,ni kutojiamini.kwanza siwapendi kwa saabu hawapo romantic kabisa,muda mwingi wanautumia kuwaza watoto wao kuliko wewe na pia anaweza kukuomba wewe hela za matumizi ya mtoto wake ilihali baba yake yu hai.siwataki na siwahitaji kamwe
Usiseme hivyo maisha bado yanaendelea
 
Sijui kwa vile napenda watoto ila nawapenda sana single mothers, nikikaa nao hua nacheza na watoto nabadilisha pampers, nawaogesha watoto ila sijisikii kua na uhusiano wa kimapenzi. Mimi siyo heartbreaker, sitaki machozi ya mtu yaniangukie.

Hawana changamoto yoyote.
 
Mwingine mtoto wake bado anaenda kliniki, ukikuta nimembeba mtoto unaweza sema mimi ndiyo dingi halafu na ukimwi napimwa kama kawaida. Kwenye mavazi sivai kiujana jana, mkanda nje au casual wear za kiutu uzima.
Ule ushauri wa angalia usimharibu mtoto nausikiliza kwa nguvu zote, halafu kitu nilichogundua wanawake wanapenda a guy anayeweza kukaa na mtoto na asilie.
Tukiwa kliniki macho yote kwangu wanaona dah huyu baba anabembeleza mtoto hadi analala hapa hapa, kumbe mwenzao mimi kishandu.
 
Sijui kwa vile napenda watoto ila nawapenda sana single mothers, nikikaa nao hua nacheza na watoto nabadilisha pampers, nawaogesha watoto ila sijisikii kua na uhusiano wa kimapenzi. Mimi siyo heartbreaker, sitaki machozi ya mtu yaniangukie.

Hawana changamoto yoyote.
Kwann hutaki kuwa nao kimahusiano ndugu yangu na wakati umesema hawana changamoto yoyote.
 
Single mothers wengi hawana maadili, yaani si wife materials. Ndiyo maana wakaachwa na hao walio wazalisha? Uliona wapi mtu akaacha kitu kizuri? (hii haiwahusu wale walio bakwa ama kufiwa na wenzi wao).

Sasa wewe jipachike tu kwa single mother ukijifanya ni malaika utajuta. Mwanaume mwenzio kamzalisha kabisa kisha kasurrender wewe unajiingiza. Mfupa huo, ulimshinda mtu aliyeitwa baby tena wakati huyo single mother akiwa kigoli, maana yake alimzimia mshikaji kwelikweli. Sasa kachoshwa na maisha anataka umsaidie kwa siku kadhaa kulea huyo /hao watoto.

Hawako sawa kisaikolojia, wameathirika. Kuachiwa mtoto au watoto mchezo. Unaingia kwenye penzi na aliyevurugwa (single mother) shauri zako
Mmh!!
 
Back
Top Bottom