Mkurugenzi Shule ya Udereva Butiama Driving School yenye usajili namba 288850 inayofundisha udereva wa Bodaboda,Bajaji,na Magari Madogo,anatangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo :-
1.Nafasi 1 :Manager
Sifa: Awe mwenyewe umri wa miaka 21-55,Awe amehitimu kidato cha 4 na kuendelea,Awe na elimu ya chuo kikuu au Diploma na uzoefu usiopungua miaka 5
2.Nafasi 1
rincipal
Sifa:Umri miaka 20-60,Elimu kidato cha 4 na kuendelea,awe na cheti cha ualimu,shahada ya chuo kikuu au Diploma na uzoefu wa miaka 2.
3.Nafasi:Chief Instructor
Sifa :Cheti cha Instructor Certificate,Uzoefu usiopungua miaka 2 na zaidi.
4.Nafasi 3: Theory and Practical Instructors
Sifa: Kidato cha 4 au zaidi,Cheti cha kufundshia.
5.Nafasi 2: Uhasibu
Sifa:Kidato cha 4,Cheti cha Uhasibu.
6.Nafasi 2:Masoko
Sifa :Kidato cha 4 na kuendelea,Cheti au Diploma ya Marketing.
7.Nafasi 1:Mapokezi (Receptionist)
Sifa:Kidato cha 4,Full Secretarial Duties Certificate.
8.Nafasi 2: Ulinzi
Sifa
arasa la saba na kuendelea,Cheti cha Mgambo au JKT au Zaidi.
Simu:0762049774,Email:uderevabutiama@yahoo.com
Dead Line 20-02-2017
1.Nafasi 1 :Manager
Sifa: Awe mwenyewe umri wa miaka 21-55,Awe amehitimu kidato cha 4 na kuendelea,Awe na elimu ya chuo kikuu au Diploma na uzoefu usiopungua miaka 5
2.Nafasi 1
Sifa:Umri miaka 20-60,Elimu kidato cha 4 na kuendelea,awe na cheti cha ualimu,shahada ya chuo kikuu au Diploma na uzoefu wa miaka 2.
3.Nafasi:Chief Instructor
Sifa :Cheti cha Instructor Certificate,Uzoefu usiopungua miaka 2 na zaidi.
4.Nafasi 3: Theory and Practical Instructors
Sifa: Kidato cha 4 au zaidi,Cheti cha kufundshia.
5.Nafasi 2: Uhasibu
Sifa:Kidato cha 4,Cheti cha Uhasibu.
6.Nafasi 2:Masoko
Sifa :Kidato cha 4 na kuendelea,Cheti au Diploma ya Marketing.
7.Nafasi 1:Mapokezi (Receptionist)
Sifa:Kidato cha 4,Full Secretarial Duties Certificate.
8.Nafasi 2: Ulinzi
Sifa
Simu:0762049774,Email:uderevabutiama@yahoo.com
Dead Line 20-02-2017