Recent content by Umutimbaru

  1. Umutimbaru

    Je, Nape yuko tayari kujiuzulu?

    Asipofanya hivyo kazi ataifanya?
  2. Umutimbaru

    Msaada kuhusu "kinyonga"

    FULL ANSWER According to the University of Michigan Museum of Zoology, female chameleons continue to mate for up to 11 days, but never mate more than once a day with the same male. The majority of chameleons lay eggs 22 to 34 days after insemination and bury them in cool, moist sand for...
  3. Umutimbaru

    Anayejua habari za JKT

    [emoji217] [emoji240]
  4. Umutimbaru

    Vifaa vya kisasa vya kunywea kuku wako maji

    Mwenge sehemu ili?
  5. Umutimbaru

    Wakristo Wenzangu Hivi Kumchezea Mungu Ndombolo, Sebene Na Kwaito Alituagiza?

    Ni kweli,Lakini we sikiliza ujumbe uliopo katika nyimbo hizo tuu. Ujumbe unapotosha au unajenga..
  6. Umutimbaru

    Makatibu Wakuu Watatu kwenye Wizara Moja. Hii imekaaje!!!?

    Watendaji ktk wizara sio Waziri bali NI makatibu ambao ndio washauri WA Waziri
  7. Umutimbaru

    Askofu mkuu Pengo mulika shule za Kanisa lako takatifu

    Kuapandishwa kwa mishahara ya watumishi kila wakati sio tatizo? Gharama hizo kupanda huenda ni sababu ya gharama ya undeshaji nayo kupanda. Mfano walimu kuhitaji mishahara mikubwa ili kukidhi gharama ya maisha nje ya shule sio tatizo? Inawezekana tatizo hilo la kupandisha ada linatokana na...
  8. Umutimbaru

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Biashara ni biashara utakayo ifikiria anza na mtaji Mdogo, alafu kadri unapata uzoefu unaongeza mtaji. Na kama unaona biashara ulioanza haeleweki basi badili mapema. Na usiogope kupata hasara wakati wa majaribio.
  9. Umutimbaru

    Msaada waungwana, jinsi ya kujua simu halisi

    Anza na kupiga Kwenye simu husika *#06# utapata Namba IMEI Namba hiyo inakili na itume kwa SMS Kwenda 15090 na utapata jibu hapo hapo. Na maelekezo mengine
  10. Umutimbaru

    Mifuko ya Plastiki ipigwe marufuku! Watengenezaji wafikirie mbadala wake...

    Mi nashauri hiyo mifuko badala ya kutolewa bure iuzwe, ikiuzwa haitakuwa inatupwa hovyo. Pia waiongezee ubora ili iweze kutumika mara kwa mara
  11. Umutimbaru

    UVCCM watoa tamko, Wamuongelea Kingunge na Uchaguzi Mkuu Zanzibar

    Ccm ya kina kingunge sio ccm ya sasa ndio maana upepo na kasi ya ccm ya sasa umemshinda ameiacha ili awe pahali ambapo ataweza kwendana na upepo huo. Hongera kwa maamuzi ya hekima.
Back
Top Bottom