Sasa hivi tuizungumzie timu yetu,achaneni kusemana hata Kama mtu alikimbia wakati tunafanya vibaya acha Sasa hivi awe huru huyo bado Ni Arsenal Na anatufaa kuwasema kina flano Na mr Liverpool,kinachotuunganisha Ni Arsenal tuwe focus Kama mkorea.LET ENJOY ARSENAL STATUS NOW,Na tujadili...
Hakuna kisichowezekana kwake yeye aaminiye,iman sio kukebehi au kujaribu imani inaendana na uhalisia wa maisha yetu. Imani inabadirisha mambo.hongera sana kwa kupata muujiza.
Nikuulize tuaache ushabiki pembeni kati ya Eze na yule mchezaji mlimsajili kwa euro 150m nani mchezaji mzuri,ukiacha mashuti yule whichz ana nini cha ziada ?
aise odegaard inabid abadirike sana,msimu huu siko emotional kabisa,najitaid kudeal na detail,ila kwa nilivyoina liverpool arsenal tunakazi sana.liverpool karibu wachezaji wote wanafunga.arafu nashangaa salah hakabwi sana kama saka.ule upande wa martinel ule ndio unaendelea kutucost msimu baada...
sema muda mwingi humu tunatumia kutaniana ila kiukweli chelsea wamepata forwd mzuri sana kwa bei rahisi Pedro unaenda kuwa usajili bora wa msimu kwa upande wa forwad jamaa anajua sana aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.