Recent content by UMBWE1

  1. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Broo ukiwa unamjibu shabiki wa arsenal mjibu wa heshima,ukumbuke unaongea na bingwa wa uingereza
  2. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Thank you JESUS we are CHAMPION
  3. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    unaposema hatupo bora unatufananisha na nani au na kitu ghani ?
  4. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwangu mimi naonaga mechi ya arsenal inakuwa rahisi aikiwa underdog
  5. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hivi unajua mwaka jana PSG katutoa kwa sababu ya ubora wa donaruma na sio walituzid mpira mechi zote mbili ndio alikuwa MAN OF THE MATCH
  6. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    broo unamaumivu sana
  7. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sasa hivi tuizungumzie timu yetu,achaneni kusemana hata Kama mtu alikimbia wakati tunafanya vibaya acha Sasa hivi awe huru huyo bado Ni Arsenal Na anatufaa kuwasema kina flano Na mr Liverpool,kinachotuunganisha Ni Arsenal tuwe focus Kama mkorea.LET ENJOY ARSENAL STATUS NOW,Na tujadili...
  8. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    arsenal ni kama wanatimu mbili zinakaribiana sana kwa ubora,wakati liverpool akiumia salah na van timu inaweza kushake sana
  9. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    tupo na tutagombania ubingwa mwaka huu,nilichokiona liverpool wanatimu zaifu mwaka huu
  10. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Mungu: Nimeiombea "graphics card" mbovu - imepona!

    Hakuna kisichowezekana kwake yeye aaminiye,iman sio kukebehi au kujaribu imani inaendana na uhalisia wa maisha yetu. Imani inabadirisha mambo.hongera sana kwa kupata muujiza.
  11. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Piero Hincapie,matajari wa arsenal safari mbona siwaelewi kabisaaa chuma kipya hicho
  12. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    sasa rasmi arsenal yuko kwenye mbio za ubingwa
  13. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nikuulize tuaache ushabiki pembeni kati ya Eze na yule mchezaji mlimsajili kwa euro 150m nani mchezaji mzuri,ukiacha mashuti yule whichz ana nini cha ziada ?
  14. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    hii habari ya Eze imewakimbiza kabisa wapinzani wetu
  15. UMBWE1

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Woyooooo Ezeeee is here,nimeridhika Na usjali Sasa Na nimesamehee kuondoka Kwa partey
Back
Top Bottom