Recent content by UMBWE1

  1. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sasa hivi tuizungumzie timu yetu,achaneni kusemana hata Kama mtu alikimbia wakati tunafanya vibaya acha Sasa hivi awe huru huyo bado Ni Arsenal Na anatufaa kuwasema kina flano Na mr Liverpool,kinachotuunganisha Ni Arsenal tuwe focus Kama mkorea.LET ENJOY ARSENAL STATUS NOW,Na tujadili...
  2. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    arsenal ni kama wanatimu mbili zinakaribiana sana kwa ubora,wakati liverpool akiumia salah na van timu inaweza kushake sana
  3. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    tupo na tutagombania ubingwa mwaka huu,nilichokiona liverpool wanatimu zaifu mwaka huu
  4. UMBWE1

    Maajabu ya Mungu: Nimeiombea "graphics card" mbovu - imepona!

    Hakuna kisichowezekana kwake yeye aaminiye,iman sio kukebehi au kujaribu imani inaendana na uhalisia wa maisha yetu. Imani inabadirisha mambo.hongera sana kwa kupata muujiza.
  5. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Piero Hincapie,matajari wa arsenal safari mbona siwaelewi kabisaaa chuma kipya hicho
  6. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    sasa rasmi arsenal yuko kwenye mbio za ubingwa
  7. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nikuulize tuaache ushabiki pembeni kati ya Eze na yule mchezaji mlimsajili kwa euro 150m nani mchezaji mzuri,ukiacha mashuti yule whichz ana nini cha ziada ?
  8. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    hii habari ya Eze imewakimbiza kabisa wapinzani wetu
  9. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Woyooooo Ezeeee is here,nimeridhika Na usjali Sasa Na nimesamehee kuondoka Kwa partey
  10. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    aise odegaard inabid abadirike sana,msimu huu siko emotional kabisa,najitaid kudeal na detail,ila kwa nilivyoina liverpool arsenal tunakazi sana.liverpool karibu wachezaji wote wanafunga.arafu nashangaa salah hakabwi sana kama saka.ule upande wa martinel ule ndio unaendelea kutucost msimu baada...
  11. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    sema muda mwingi humu tunatumia kutaniana ila kiukweli chelsea wamepata forwd mzuri sana kwa bei rahisi Pedro unaenda kuwa usajili bora wa msimu kwa upande wa forwad jamaa anajua sana aisee
  12. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tujadili team yetu Na performance yake
  13. UMBWE1

    Ninawaomba DStv wajitafakari kwa kupandisha gharama zao kila kukicha

    hii unaangaliaje mpira mkuu /
  14. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    ila kepa yuko timamu sana,kuwa na number mbili wa vile safi sana
  15. UMBWE1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naangalia mechi ya arsenal hapa
Back
Top Bottom