Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwenye sakata hili hamis77 kayumba na yeye ndio kaanza kuleta udini lakini cha ajabu anakataa

Kuna tatizo analo la Kisaikolojia kama la Manara kitu kidogo anaona ananyanyswa kila rangi yake , hata wanalo kutokana sifa Fulani waliyokuwa nayo mfano umasikini basi kila mtu akimwambia ukweli Fulani au jambo ambalo linamkwaza basi anaona anashambuliwa kisa yeye masikini.

hamis77 kwa ninii udhani kila anayekushambulia ni kobaz au anakushambulia kisa chuki za kidini ?

Unajiamisha vipi au unapata viashiria vipi kuwa huyu ananishambulia sababu ya dini au chuki kibafsi mbona jamaa hajaanzisha mambo ya kidini ila wewe tu baada ya kukukosoa ukamuita kobaz ?

Huyo jamaa namjua nje ya Jf kuwa sio Muislamu ila wewe ulimvesha Uilsamu baada ya kukushambulia , hapo hauoni kuwa wewe ndio umeyumba na unamatatizo ?

Tena naweza kuleta ushahidi wa mada zake za nyuma akiponda Uilsamu lakini wewe bila ushahidi na umeshajenga dhana kuwa mtu yeyote anayekushambulia humu Jf ni kobaz.

Mkuu upo emotional unstable unakosa composure unapopata personal attack ya nguvu mpaka unaongea visivyomana na hiyo ni mbaya sana.
Huyu ni CHENGA, niaminini mimi.. hayupo sawa kabisa.
 
Atletico walipopigwa goli la kwanza ,wakafunguka

Hapo ndio ilikuwa kosa

Ndani ya dakika 13 chuma 4

Pep siku ile alicheza kama Mourinho,hakuwa mjinga
Huyu alitoa hii comment haja quote mtu.

Huyu akaanza kum quote.
Naona Umesha anza uchambuzi wako uchwara, halafu tukisha pigwa una kimbia jukwaa na kuanza kuhubiri dini zako uchwara.

Bro uchambuzi huwezi, arsenal tuachie kama ilivyo.

mkorea, makaveli10, HENRY14, Flano, Mbaga Jr.

Aliyeanzisha issue za dini anaonekana.

Cha kuchekesha huko mbele anamegeuzia kibao mwenzie ndo kaleta mambo ya dini, na ku recruit kundi kumshambulia mwenzie.

Typical manipulative , narcissistic behaviour.

Kuna watu ukiwapa nafasi kuingia in your space / life unashangaa tu there is chaos and confusion.

They change narratives and make you doubt your perception of reality. Then they label you crazy.

No peace. They thrive on drama, chaos and belittling others.

There's a reason why the LORD repeatedly warns against associating with people whom you don't share the same values. They'll just always bring you down.

"Siketi pamoja na watu wadanganyifu, wala siandamani na wanafiki,

ninachukia kusanyiko la watenda maovu, na ninakataa kuketi pamoja na waovu."

Zab.26.4-5.NENO

(Was going through hamis77 's profile and saw this. I'm out)
 
Hawa Liverkuku ifike hatua tusiwacheke aisee wanasikitisha sana, kabla hatujacheza na Nyekesto zilikua zinapigwa hesabu kua tukifungwa tu basi mbizo za ubingwa ndo basi tena,, leo wana gape na mateso makubwa sana, tuwaombee tu maana inahuzunisha mno
 
Crystal palace bila kumtangulia goli mbili hautakiwi ku-relax hata kidogo

Tumewapiga moja lakini bado wana utulivu wa hali ya juu
 
Tunashukuru kwa maisha ya Raila Odinga,mashabiki wenzake wa arsenal walienda kuzuru kabuli la shabiki kindaki ndani wa the gunners.
 

Attachments

  • 3d412f62fc35d15fc5c8c5f51cd060d4.webp
    3d412f62fc35d15fc5c8c5f51cd060d4.webp
    134.9 KB · Views: 19
Sasa hivi tuizungumzie timu yetu,achaneni kusemana hata Kama mtu alikimbia wakati tunafanya vibaya acha Sasa hivi awe huru huyo bado Ni Arsenal Na anatufaa kuwasema kina flano Na mr Liverpool,kinachotuunganisha Ni Arsenal tuwe focus Kama mkorea.LET ENJOY ARSENAL STATUS NOW,Na tujadili tunatoboaje MAY Na kombe letu
 
Sasa hivi tuizungumzie timu yetu,achaneni kusemana hata Kama mtu alikimbia wakati tunafanya vibaya acha Sasa hivi awe huru huyo bado Ni Arsenal Na anatufaa kuwasema kina flano Na mr Liverpool,kinachotuunganisha Ni Arsenal tuwe focus Kama mkorea.LET ENJOY ARSENAL STATUS NOW,Na tujadili tunatoboaje MAY Na kombe letu
Yes, umeongea kitu kizuri mkuu

Alafu hao uliowataja mbona walikua arsenal fans wazuri tu
sema acha tusifukue makaburi.
 
Naangalia uchambuzi wa mechi ya jana sioni kitu, ni kuchambana tu.
Hongereni gunners, mwendo wa taratibu ila uhakika. The EPL is a long journey, tusibweteke.
 
Msimu huu mnachukua ubingwa....lkn 2028 ni zamu yetu man u, tuna project ya EPL kabla au ifikapo 2028
🤣🤣🤣 Bagabeach nahisi utakua mgeni na Arsenyau, Ni rahisi Sunderland kushinda ligi msimu huu kuliko Arsenyo, Arsenyau sio timu ya kuitilia maanani sana linapokuja suala la kubeba makombe, Arsenyau chini ya Tetea kiwigi misimu yote hua wanaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Washawahi kuongoza ligi siku 258 halafu zimebaki siku 17 ligi iishe wakatupa taulo chini.
Hawa Evra aliwafananisha na Netflix, wazee wa next season kila msimu.

#Arsenyau fungu la kukosa.
 
Back
Top Bottom