Kwenye sakata hili
hamis77 kayumba na yeye ndio kaanza kuleta udini lakini cha ajabu anakataa
Kuna tatizo analo la Kisaikolojia kama la Manara kitu kidogo anaona ananyanyswa kila rangi yake , hata wanalo kutokana sifa Fulani waliyokuwa nayo mfano umasikini basi kila mtu akimwambia ukweli Fulani au jambo ambalo linamkwaza basi anaona anashambuliwa kisa yeye masikini.
hamis77 kwa ninii udhani kila anayekushambulia ni kobaz au anakushambulia kisa chuki za kidini ?
Unajiamisha vipi au unapata viashiria vipi kuwa huyu ananishambulia sababu ya dini au chuki kibafsi mbona jamaa hajaanzisha mambo ya kidini ila wewe tu baada ya kukukosoa ukamuita kobaz ?
Huyo jamaa namjua nje ya Jf kuwa sio Muislamu ila wewe ulimvesha Uilsamu baada ya kukushambulia , hapo hauoni kuwa wewe ndio umeyumba na unamatatizo ?
Tena naweza kuleta ushahidi wa mada zake za nyuma akiponda Uilsamu lakini wewe bila ushahidi na umeshajenga dhana kuwa mtu yeyote anayekushambulia humu Jf ni kobaz.
Mkuu upo emotional unstable unakosa composure unapopata personal attack ya nguvu mpaka unaongea visivyomana na hiyo ni mbaya sana.