Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Here we go again, ila ninge prefer rodrygo.
FB_IMG_17557279305476500.jpg
 
Saka upande mmoja, Eze upande wa pili, Gyokeres katikati ni mbio tu, yani unakimbizwa paka maji uite mma, ukijifanya unajua kushambulia umeisha, utaondoka na rekodi ya kufungwa magoli mengi
 
Arsenyau hizi ni dharau sasa mnaleta. View attachment 3447211
Mkuu Bora mmeshacheza na sisi raundi ya kwanza shehe😀😀...Cheltako wanaenda kukutana na Eze kwa mara nyingine tena akiwa ndani ya uzi mwekundu😀😀....maji wataita mama safari hii....Kimbukiko na Mkohoti tafuteni ligi nyingine tukacheze huku kene EPL mmeshindwa kutufunga
 
sema eze naye ana jua, ni vile hakuwa kapata viungo wa kumrahisishia kazi.
Typical 10 na Lw wa kuibia....atatusaidia....Kuna taarifa kale ka striker ka atletico Madrid kanataka kuondoka kale ka Martinez sijui....anaona simione anaharibu kipaji chake.....sasa Mzee Berta awatwangie simu moja tu waajiri wake wa zamani tuyajenge kiutu uzima😀😀😀....watugee hata kwa mkopo kijana aje kuzima pale kati af msimu ujao tumchukue mazima....
 
Flano hawezi kukosa cha kuongea
Hongereni Arsenyau kwa kupindua meza dhidi ya Spurs.
Eze hapo mmepata mchezaji, Matembele na ndugu yake Ødegaard wanawachelewesha sana kufika nchi ya ahadi.
Siku mkishtuka mkapata kiungo bora wa kuchukua nafasi ya Ø ndio utakua msimu wenu wa kuachana na nafasi ya pili, mtamaliza ligi tembo akiwa katulia zake juu ya mti.
tapatalk_1154748015_512x512.jpg
 
Kuna wachezaji wa ku-sign na mpinzani wako akaogopa sasa hii sign ya EZE ni sign ya kuwaogopesha watu kweli, EZE hana uwezo hata wa kumgusa MADISSON .Kwa kifupi EZE ni ODEGARD mpya Arsenal.
Mechi ya 3 tunakuja hapo kene kauwanja kenu kucheza mkuu....kutufunga marufuku....maana sijui msimu wa ngapi huu mnajaribu ila mnashindwa
 
Nikuulize tuaache ushabiki pembeni kati ya Eze na yule mchezaji mlimsajili kwa euro 150m nani mchezaji mzuri,ukiacha mashuti yule whichz ana nini cha ziada ?
Kuna wachezaji wa ku-sign na mpinzani wako akaogopa sasa hii sign ya EZE ni sign ya kuwaogopesha watu kweli, EZE hana uwezo hata wa kumgusa MADISSON .Kwa kifupi EZE ni ODEGARD mpya Arsenal.
 
Back
Top Bottom