Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,009
- 95,512
Here we go again, ila ninge prefer rodrygo.
Done deal hiyo
Yeah..Simkubali kabsa Arteta.
Ila kumfunga nyumbu kwangu ni furaha kubwa kuliko hata kubeba Uefa.
Eze anakupa option nyingi kuliko rodrygo...Eze anaweza akatokea pembeni,pia anacheza kama kiungo mshambulliajiHere we go again, ila ninge prefer rodrygo.
View attachment 3447546
Sahihi kabisa, ngoja tuone official statement ya club kama wamefanikiwa kukamilisha huu UsajiliEze anakupa option nyingi kuliko riodrygo...Eze anaweza akatokea pembeni,pia anacheza kama kiungo mshambulliaji
mim nlikuwa nasali kila siku uyu mtu atue maombi yamesikilizwa rodgro mpka aizoee league cyo leoHere we go again, ila ninge prefer rodrygo.
View attachment 3447546
sema eze naye ana jua, ni vile hakuwa kapata viungo wa kumrahisishia kazi.Eze anakupa option nyingi kuliko rodrygo...Eze anaweza akatokea pembeni,pia anacheza kama kiungo mshambulliaji
sema eze naye ana jua, ni vile hakuwa kapata viungo wa kumrahisishia kazi.Eze anakupa option nyingi kuliko rodrygo...Eze anaweza akatokea pembeni,pia anacheza kama kiungo mshambulliaji
Mkuu Bora mmeshacheza na sisi raundi ya kwanza shehe😀😀...Cheltako wanaenda kukutana na Eze kwa mara nyingine tena akiwa ndani ya uzi mwekundu😀😀....maji wataita mama safari hii....Kimbukiko na Mkohoti tafuteni ligi nyingine tukacheze huku kene EPL mmeshindwa kutufunga
Typical 10 na Lw wa kuibia....atatusaidia....Kuna taarifa kale ka striker ka atletico Madrid kanataka kuondoka kale ka Martinez sijui....anaona simione anaharibu kipaji chake.....sasa Mzee Berta awatwangie simu moja tu waajiri wake wa zamani tuyajenge kiutu uzima😀😀😀....watugee hata kwa mkopo kijana aje kuzima pale kati af msimu ujao tumchukue mazima....sema eze naye ana jua, ni vile hakuwa kapata viungo wa kumrahisishia kazi.
Wanaangalia kwa mbaaali halafu wanabaki kusonya tu😀hii habari ya Eze imewakimbiza kabisa wapinzani wetu
Umekubali eeeh jamaa mtu na nusu yulesema eze naye ana jua, ni vile hakuwa kapata viungo wa kumrahisishia kazi.
Flano hawezi kukosa cha kuongeaWanaangalia kwa mbaaali halafu wanabaki kusonya tu😀
Kuna wachezaji wa ku-sign na mpinzani wako akaogopa sasa hii sign ya EZE ni sign ya kuwaogopesha watu kweli, EZE hana uwezo hata wa kumgusa MADISSON .Kwa kifupi EZE ni ODEGARD mpya Arsenal.hii habari ya Eze imewakimbiza kabisa wapinzani wetu
Flano hawezi kukosa cha kuongea


Hongereni Arsenyau kwa kupindua meza dhidi ya Spurs. Mechi ya 3 tunakuja hapo kene kauwanja kenu kucheza mkuu....kutufunga marufuku....maana sijui msimu wa ngapi huu mnajaribu ila mnashindwaKuna wachezaji wa ku-sign na mpinzani wako akaogopa sasa hii sign ya EZE ni sign ya kuwaogopesha watu kweli, EZE hana uwezo hata wa kumgusa MADISSON .Kwa kifupi EZE ni ODEGARD mpya Arsenal.
Kuna wachezaji wa ku-sign na mpinzani wako akaogopa sasa hii sign ya EZE ni sign ya kuwaogopesha watu kweli, EZE hana uwezo hata wa kumgusa MADISSON .Kwa kifupi EZE ni ODEGARD mpya Arsenal.