Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jesus huko X

2241, Aug 24

"It’s been seven months of pain, uncertainty, and anxiety. Today, I finally feel light — like a child playing football again.

GOD IS GREAT. "
Bora mwamba arudi asaidiane na Gyok. Kisha tupunguze dead woods.. the likes of Fabio, Nelson, Sambi, Kiwior should go. And i hate to say that Zinny should go too japo namkubali sana ila itakua sio nzuri kwake maana hatopata game time anayotaka.
 
The only constant in EPL is for arsenal to finish 2nd.
Kwahiyo hizi mbwembwe zote humu mnapoteza muda wenu bure tu.
 
I was thinking the same. Cala ana ukabaji wa kushika, pia anatumia nguvu zaidi kupita kiasi.
Naona Skelly atafaa zaidi maana aliwamudu vizuri PSG na zile winga zao sumbufu.. pia Skelly yuko comfortable zaidi akiwa na mpira, na ni ball carrier mzuri kwenye 3-2-5 transition.
skelly kuwa inverted fullback imekuwa na athari hasi zaidi kwa timu hasa inapopoteza mpira ,kasi hana ya kurudi kwenye eneo lake na pia wkt mwingine anajisahau mno yupo eneo gani uwanjani ,atafaa zaidi endapo haya mambo ya ku invert asipewe yeye.
 
Kutokana na injuries za Saka na Ø, pale Anfield tuanze na hii

Eze, gyokeres, Madueke (wapya wote)

Merino, Rice, Zubimendi

how do you feel abt this?
Nakuunga mkono na mguu.

Tatizo tuna kocha mjuaji saaana.
 
Tumekuwa na majeruhi paka tushazoea, kiasi kwamba hatuogopi kitu

Uefa tumecheza na ST Merino, Gabriel kitasa alikosa dhidi ya madrid & psg, hii ndio sababu sina hofu na majeruhi msimu huu

paka sasa tuna Jesus, havertz, white, saka na Ø kwenye ward ya wagonjwa

Dhidi ya liverpool tutacheza anyhow na sioni tukifungwa, wamejitahidi sn draw
Hii Jesus ni mfanyakazi hewa.
 
Tetea Kiwigi give him Leeds United every week and Arsenal win the league.
49081541.jpg
 
Siamini kama walikuwa hawawaoni wachezaji wazuri, nahisi wamiliki wa timu wamebadilika na kuamua kutafuta makombe
Kaka wamiliki wamejirekebisha muda sana tangu Arteta apewe timu.

Shida ilikuwa kwa Arteta na Edu wake wazee wa 10%.

Huyo Madueke mwenyewe kaja kwasababu mwamba wetu wa usajili alikuwa bado hajayaelewa mazingira.


Ila kwasasa hautaona kiande labda Arteta alazimishe.
 
Back
Top Bottom