Recent content by Ulenje

  1. Ulenje

    Jifunze namna ya kugundua na kutumia fursa

    BARAKA TANO ZA PETRO: JANA IMEKWISHA LEO NI SIKU MPYA, KESHO ITAKUWA NJEMA ZAIDI YA LEO. BARAKA TANO ZA PETRO NA MAANA YA LEO, KESHO NA JANA. UTANGULIZI Jana Imekwisha, Leo ni Siku Mpya Kesho Yaweza kuwa Nzuri Zaidi ya Leo. Huu ni mfulizo wa somo la muhimu sana kwa kila mtu, litakusaidia...
  2. Ulenje

    Ukweli kuhusu Vita vya Majimaji

    Think big
  3. Ulenje

    Ney wa Mitego awachana JK na Zitto

    Uneducated hata kama akisema jema la kujenga bado litaoneka unwise/la kipumbavu. Utasikia. " Ahhhh muhuni tu mzee achana nae"
  4. Ulenje

    Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

    Inawezekana wanajamii wenzangu coz taarifa nyingi watumishi wa serikarini wanazipata kwenye makaratasi hawaendi field hii inasababisha mwanya wa wao kupewa taarifa za uongo
  5. Ulenje

    Kikwete: Mimba kwa wanafunzi ni kiherehere chao

    yote kweri yafatwe. Kasoro hilo la kusapoti watu watoke nje ya ndoa wakishindwa kujizuia
  6. Ulenje

    Mnyika aanika Siri nzito CHADEMA!!

    amen na iwe hivyo alivyosema Mnyika
  7. Ulenje

    Kilewo Aivunja ngome ya Profesa Jumanne Maghebe Maeneo ya Usangi Mwanga Kilimanjaro

    M4c mpaka ikulu. Jamani waccm thiz iz time of changes in order get 2 tz that we need. Janjaruka then take a card
  8. Ulenje

    John Malecela: CCM itashinda kwa kishindo uchaguzi mkuu mwaka 2015

    Jamani political game in our iz so ngumu. Dont take it easy any more. Take it
  9. Ulenje

    Chadema imedandia behewa la cuf!

    HATA APPLE Aligundua komputa lakini haikutumika mpaka pale BILGET alipogundua MICROSOFT. hivyo hakuna jipya, Yote uyaonayo dunia wapo waliogundua bt sisi twatumia. So stil creat then we do. And remember now TZ need ACTION not planning
  10. Ulenje

    Salary ya kikwete for 10yrs ni Tsh 3 bilion

    ndogo sanaaa ungeongezwa
  11. Ulenje

    Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO alaani mauaji ya Mwangosi

    UNESCO to intervene thiz issue iz very neccesary coz many issue lk thiz we failed 2 solve in a justice way. I think by them jk wil be shaken and do what the justice want.NATOA WITO KWA MASHIRIKA MENGINE YA KIMATAIFA NA HAKI ZA BINAADAMU KUINGILIA KATI SWARA HILI
  12. Ulenje

    Chadema wasiwasi wa nini?? Hata kufungua matawi mpaka muite wahandishi wa habari????

    Malecela anadhani siasa ya NYERERE ndio ya sasa. Kumbuka enzi za nccl mageuzi ni enzi za Mkapa generation pindi darasa la saba bado linaheshimika. Bt now educated we are many. Best character of educated man and women iz DEMANDING OF CHANGES
  13. Ulenje

    Chadema wachapana makonde Mwanza

    kutofautiana kidemocrasia pindi chama kinaanza ni kawaida kwani wengi hujiunga kwa kasi kwa mategemeo ya kuingiza sera zao sasa mpaka kukusanya sera zote kuzi analysis na kuja kupata kitu kimoja mambo hayo ni kawaida. Hivyo be patient
  14. Ulenje

    Taarifa kwa vyombo vya habari - CHADEMA yakataa wito wa kamati ya Nchimbi

    Ndivyo tunavyotaka sio kubabaishwa wakati wa kudai haki
  15. Ulenje

    What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

    mimi nadhani wananchi huwa tunatazama utekelezaji na sio Protocal na utaratibu wa utekelezaji na tumezoea sana maneno na kutembelewa kuliko utekelezaji unaoonekana. Hivyo basi kama wataka kujua hatua atakayo ichukua mdee vyema kutembelea ofisini kwake au kuwa na subira. Maana hawez kuja ikiwa...
Back
Top Bottom