Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
wewe nae kichwa cha kuku kumbe, zambia wana maisha magumu ukilinganisha na nchi gani? Zambia wana maisha mazuri sana na ndio unaona hata wabongo wanatiririka kwenda huko kila uchao.
Unadhani wao ni vichwa vya kuku kama nyie walamba miguu wa ccm, kwamba hawajui wanachokifanya hadi kuing'oa madarakani UNIP na baadae kuimwaga UMD?
Wewe wabongo wanaenda kule kufanya biashara. Acha kulinganisha TZ na Zambia bwana unatuaibisha.