Chadema wachapana makonde Mwanza

wewe nae kichwa cha kuku kumbe, zambia wana maisha magumu ukilinganisha na nchi gani? Zambia wana maisha mazuri sana na ndio unaona hata wabongo wanatiririka kwenda huko kila uchao.
Unadhani wao ni vichwa vya kuku kama nyie walamba miguu wa ccm, kwamba hawajui wanachokifanya hadi kuing'oa madarakani UNIP na baadae kuimwaga UMD?

Wewe wabongo wanaenda kule kufanya biashara. Acha kulinganisha TZ na Zambia bwana unatuaibisha.
 
Mangi hiki ni chama aibu kwa nchi yetu hata mwenyekiti wao ni DJ tu hana cha ziada anachojua zaidi ya majani
 
Ni kweli kabisa! lakini siku tukizikosa pumba zake humu tunaanza kutafutana hahaaaa!

kweli ukiwa umechukia ukasoma pumba zake inakuwa kama funy fulani hivi unacheka yanaisha awepo kama burudani fulani hivi!
 
Hii habari imekaa kishabiki sana, hata muandishi hakutulia kabisa



Wewe ndiye ambaye hujatulia unasoma habari kwa jicho moja ili usiuone ukweli. Hiyo ndiyo CDM wanaojipambanua kuwa chama cha Demokrasia na Maendeleo, wakati matendo na kauli zao vinapishana na maana ya chama chao.
 
Huu uzi umekaaa kimipasho kabisaaaa sasa kama mnasema tukiwapa nchi itakuwa balaa kwa hiyi tuwaache nyie CCM magamba,wala rushwa,watawala wa kutumia risasi,wateka nyara,waleta dini na kugawa watu,pia gazeti lenyewe sitalilaumu kwa kuwa ndio yale yale ya Kina Bashe Hossein ambaye walitoleana bastola pale Nzega wakigombea uongozi sasa watu kama hawa kweli tuwaache waendelee kuongoza nchi,Kina Kamuhanda,IGP Said Mwema,Shiloli,Chagonja,Kina Nepi,Mwingulu,Livistone,Kikwete hawa wote si ndio wanatumia bastola kuongoza nchi na kuuwa so kweli jamani tuwaache muendeleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee acheni kuongeza mafuta na nazi mleta uzi mwenyewe ndio wale wale Kikwete mwizi namba moja aliowapitia kimipasho kuwa wana viwanda vya uongo so kaka yr the one big up na Gazeti lenu la Rostam Azizi chini ya Bashe.Poleni sana na mwisho wenu 2015.Pia nawapa akiba ya maneno msizidi kutoa mapovuChadema wakichukua nchi hawatawaburuza mahakamani kwani mko wengi sana so mtajaza magereza na kuendelea kutafuna kodi za wanyonge so Chadema watakuwa na kazi kubwa ya kufumua serikali kila kitu so they'll be so much bussy so msitoe mapovu sana kiivyo just cool down na have a time Magamba
 
Ukweli huwa una nguvu zaidi ya uwongo! Tatizo siku hizi watu hawataki kuukubali hata kama upo wazi. Subirini tu hakuna dawa nzuri zaidi ya subira.....2015 ipo karibu.
 
Kiukweli nilishangaa sana kusikia Matata huyu mmiliki wa Magnum miaka ya 1986/1987 ya enzi zile za DJ mmoja alikuwa na aka yake anaitwa toto masai,Matata aliekuwa mfanya biashara za magendo ya bia za Kenya huku akiandamwa na tetesi za kujihusisha vitendo vibovu ilikuwaje akapata nafasi ya kuingia CDM na akapokelewa kugombea na kushinda udiwani.
Na kwa kuwa CDM wako makini wamemgundua na amefukuzwa,na ndio maana inasadikiwa alikuwa na katibu wa ccm wa wilaya Mwanza.na hao walioleta vurugu watakuwa ni pandikizi na walilipwa pesa na Matata kwa ujira wa pesa.
 
nashindwa kuelewa matata anasema viongozi hawaheshimu mahakama,akafanya fujo,je yeye amehishemu mahakama?
 
Wewe wabongo wanaenda kule kufanya biashara. Acha kulinganisha TZ na Zambia bwana unatuaibisha.

Na watanzania wanaenda kufanya biashara kule coz watu wakule wamelala balaa hawana tofauti na Malawi watanzania wamejaa na wote wanafanya biashara achana na uyo mshamba maybe ajatembea akaona
 
Ngoja niwambie ukweli kwa wale wanaofikiri hizi fujo zililetwa na wanachama halali wanaoipenda chama chao. Ukweli wa mambo ni Matata alitafuta vijana wakwenda kufanya fujo. Usiku wa kuamkia tukio hilo Matata alisikika katika katika hoteli moja ijulikanayo kama Hotel Kingdom ambako alikuwa akinya na watu kadha pamoja na Katibu wa CCM wilaya ya Ilemela na Jamaa mwingine wa CCM. Matata alisikika akipanga jinsi ya kupata watu wakwenda kufanya fujo kesho yake.

Huyu jamaa(matata) ni jangili wa siku nyingi hapa mwanza na anafahamika. Pia anashirikiana na CCM kutaka kuivuruga Chadema.

Mkuu rudi studio kafanyie remix hiyo single yako....hahaha aichezeki....Kamanda gani kakimbilia chini ya meza hahaha alafu anakuhamasisha wewe uende front line ukafe wakati wao wanakula chocho
 
Nakumbuka kifo cha NCCR kilianza kwa watu kuzichapa Tanga.

Chakushangaza Comrade zomba KIWIA kala chocho tena chini ya meza anasalimisha uhai wake sema kuna vilaza wanajazwa ujinga na huyo aliyekula chocho waende front line kwenye maandamaano na wasiogope risasi...sasa KIWIA makonde tu kala chocho hahahaa
 
Last edited by a moderator:
Chakushangaza Comrade zomba KIWIA kala chocho tena chini ya meza anasalimisha uhai wake sema kuna vilaza wanajazwa ujinga na huyo aliyekula chocho waende front line kwenye maandamaano na wasiogope risasi...sasa KIWIA makonde tu kala chocho hahahaa

Ya ngapi?
 
Leo Matata kawa hafai kwa sababu aliuza bia. Mtakuja ukabila hapo Mwanza mkimaliza mtaanza wapiga Disco mara maDJ mtafika 2015
 
Nyamagana waliona wamepata Mbunge kweli?
Nasindwa hata kuelewa wanachogombania ni nini? tatizo nadhani ni huyu mjaluo Wenje, sijui ana akili gani huyo, hivi kwlei wakazi wa

mkuu ulitaka ww ndio uwe mbunge wa nyamagana.!

Teh teh teh teh teh............!
 
kutofautiana kidemocrasia pindi chama kinaanza ni kawaida kwani wengi hujiunga kwa kasi kwa mategemeo ya kuingiza sera zao sasa mpaka kukusanya sera zote kuzi analysis na kuja kupata kitu kimoja mambo hayo ni kawaida. Hivyo be patient
 
Leo Matata kawa hafai kwa sababu aliuza bia. Mtakuja ukabila hapo Mwanza mkimaliza mtaanza wapiga Disco mara maDJ mtafika 2015

Mkuu kwani wewe kabila gani? Alafu una habari kwamba Sitta kashamshukia Nape leo?


Kwi kwi kwi kwi..............!
 
Back
Top Bottom