Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,295
Mfano Rita Mlaki alitamka wazi kuwa waliobomolewa ni wavamizi na wahuni. Hakuna hata thread moja iliyo jadili hilo
UKO SAWA INGAWAJE KWENYE ISSUES MTU UNAFOCUS KWENYE CORE ROLE PLAYER. Mlaki ndiye mwenye madiwani wanaojitahidi kumkwamisha mbunge. Mbunge kunyamazia hli suala ni udhaifu ambao si matarajio ya wapenzi wa CDM. Kukubali kukwamishwa, HALIMA anaonyeshwa udhaifu.