Asante kaka Tumaini Makene, hii habari imetulia, na kama wana masikio ujumbe umefika! Bahati nzuri Mungu amewaziba masikio wasisikie, amewafumba macho wasione ili waendelee kuwachukiza watanzania kwa upumbavu wao!
Kwa ushahidi wote wa matukio ya mauaji ya Iringa, Morogoro, North Mara, Arusha, ni Serikali inayoongozwa na wapumbavu inaweza kuunda tume ya kipumbavu pia kwa kuwahadaa wazalendo!
Huu ndio ujinga mwingine wa jeshi la polisi, kamati ya nini wakati swala liko mahakamani?
Kamati ya nini ambayo haina mamlaka kisheria?
Kamati ya nini ambayo haina uwezo wa kumuwajibisha IGP na Nchimbi?
Kamati ya nini wakati tukio liko wazi?
Huku ni kupoteza na matumizi mabaya ya pesa za walala hoi.
chagonja hata mungu anamshangaa kwa nini hajiuzuru,maana Aligoma kujiuzuru baada ya mauaji ya mwandishi mwangosi, juzi mkewe kakumbwa na tuhuma za rushwa ya kutafutia kazi watu TISS,,namshangaa chagonja!
huyu jaji ni kilaza kama alivyotabiri Tundu Lissu ameshaanza kutuma barua bila ya kumbukumbu namba na jaji yeyote
makini asingekubali kuunda tume pamoja na watuhumiwa wakiwemo kwa sababu inaondoa uhuru wa tume.
nakwambia matokeo ya uchunguzi utasikia ffu haina kosa bali kosa ni chombo cha kufyatulia bomu.
Kati ya vyama ambavyo huwezi kuvitabiri na maamuzi yake basi chadema imevunja rekodi, pia imevunja rekodi ya kuisimamia misimamo yake mpaka mwisho na kuihakikisha inafanikwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.